The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!!

Baada ya kukaa na kutafakari, na kuangalia kisomo cha Chenge, na kwavile kapitia Havard Law school, na pia amekuwa kama State Attorney kwa zaidi ya miaka 30, basi naona kwa kweli kutengeneza hivyo vijisenti ni kitu kidogo sana kwake.

All he needs to have done is a number of consulting jobs or presentations either at Havard itself or other institutions in different parts of the world. For him to be a State Attorney for that long, he has a wealth of information to share to the world.
Clinton analipwa kama £75,000 per lecture. Cherie Blair £30,000. As far as I am concerned someone like Chenge would have been highly regarded due to his position and his education. Even if he got paid £5,000 per lecture, calculate that maybe 5 to 10 lectures/presentation per year, over a stretch of 20years, plus smart investment in property (say UK).

On this logic (and this logic only) I am not surprised he could have that couple million 'vijisenti' in Jersey.

Angekuwa na vijisenti vya halali kusingekuwa na sababu yoyote ya yeye kukaa kimya muda wote huu bila kutetea upatikanaji halali wa hivyo vijisenti. Huyu ni fisadi na kapata vijisenti hivyo kwa njia za haramu ndio maana akaamua kwenda kuvificha nje ya nchi. Na hao makachero wa SFO wameshasema kwamba kulikuwa na suspicious activities katika bank account hiyo ama ya kuweka ama kutoa pesa au vyote viwili. Hana la kujibu huyu ni fisadi tu!
 
Mkuu huyu yuko bongo tu hakuna cha lecture wala tution

Alumni wowote wale wa shule ya maana hawatupani hata siku moja. Tena ukiwa unashikilia kazi ya maana katika nchi yako, kusogezeana kazi za vijisenti kitu kidogo sana.
 
Chenge hakusoma Harvard law school kama inavyodaiwa. Alisoma mjini Washington DC na Harvard iko Massachussets. Malipo ya $200K kwa kila mikataba mibovu na uuzaji wa madawa ya kulevya ndivyo vilivyompatia utajiri huo haramu.
 
Angekuwa na vijisenti vya halali kusingekuwa na sababu yoyote ya yeye kukaa kimya muda wote huu bila kutetea upatikanaji halali wa hivyo vijisenti. Huyu ni fisadi na kapata vijisenti hivyo kwa njia za haramu ndio maana akaamua kwenda kuvificha nje ya nchi. Na hao makachero wa SFO wameshasema kwamba kulikuwa na suspicious activities katika bank account hiyo ama ya kuweka ama kutoa pesa au vyote viwili. Hana la kujibu huyu ni fisadi tu!

Ndio maana akaita 'vijisenti', nina uhakika kama akili yake inachemka, usije shangaa atakavyo-justify hiyo pesa.
 
Chenge hakusoma Harvard law school kama inavyodaiwa. Alisoma mjini Washington DC na Harvard iko Massachussets. Malipo ya $200K kwa kila mikataba mibovu na uuzaji wa madawa ya kulevya ndivyo vilivyompatia utajiri huo haramu.

My point is; if he has done consulting at all, forget even where he studied, the fact he held an influential position for so long. He can make that money easy!!
 
yes he can mak that money easy lakini kwa kuiba. amesoma harvad lakini anafanya kazi kwenye serikali kwa miaka 30. Hizi ni ndoto huju jamaa kaiba na hayuko pekee kwani kunawalioiba zaidi. Je kuna account ngapi hatuzijui?
 
Nzoka... unapoangalia benki statement unaweza kuona cash flow.. jinsi hela inavyoingia na kutoka. Sasa kwa miaka 30 ukiangalia akaunti moja basi unaweza kuona kwa urahisi jinsi gani mtu ameweza kuaccumulate fedha over time.

Tatizo la linakuja hapa; unapofungua akaunti 2001 na ndani ya miezi michache unaweza kuingiza dola karibu milioni moja.. inabidi ueleze zimetoka wapi? Aidha tuamini kuwa alikuwa anazifukia ardhini nyumbani kwa muda wote huo na akaamua kuzipeleka benki ya Jersey au zilitoka mahali fulani. Sasa uzuri wa kiasi kikubwa cha fedha it always leave tracks...
 
Naona watu wanataka kupewa paper trail na bank statements sasa ndiyo washindwe kutetea, na zinakuja.
 
Ndio maana akaita 'vijisenti', nina uhakika kama akili yake inachemka, usije shangaa atakavyo-justify hiyo pesa.

Hakuna justification yoyote ya vijisenti hivyo! Kulikoni mpaka akasifia makachero wa UK kama vijisenti hivyo ni vya halali? Fisadi tu huyu!
 
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!!

Baada ya kukaa na kutafakari, na kuangalia kisomo cha Chenge, na kwavile kapitia Havard Law school, na pia amekuwa kama State Attorney kwa zaidi ya miaka 30, basi naona kwa kweli kutengeneza hivyo vijisenti ni kitu kidogo sana kwake.

All he needs to have done is a number of consulting jobs or presentations either at Havard itself or other institutions in different parts of the world. For him to be a State Attorney for that long, he has a wealth of information to share to the world.
Clinton analipwa kama £75,000 per lecture. Cherie Blair £30,000. As far as I am concerned someone like Chenge would have been highly regarded due to his position and his education. Even if he got paid £5,000 per lecture, calculate that maybe 5 to 10 lectures/presentation per year, over a stretch of 20years, plus smart investment in property (say UK).

On this logic (and this logic only) I am not surprised he could have that couple million 'vijisenti' in Jersey.

vijisent (sent) ni fraction ya kile ulichonacho. Kwa maana hii Chenge anazo zaidi ya zile zilizopatikana katika akaunti husika ya vijisenti.

Hypothetically inawezekana. Lakini kwa nafasi ya AG wa Tanzania na bila kuwa na international exposure yoyote katika uwanja wa kimataifa hiyo degree yake ni sawa na digrii za kutoka vyuo vingine tu. Na hata hapo Tanzania bila kujiingiza kwenye siasa hakuwemo kwenye daftari ya who's who.
 
Nzoka... unapoangalia benki statement unaweza kuona cash flow.. jinsi hela inavyoingia na kutoka. Sasa kwa miaka 30 ukiangalia akaunti moja basi unaweza kuona kwa urahisi jinsi gani mtu ameweza kuaccumulate fedha over time.

Tatizo la linakuja hapa; unapofungua akaunti 2001 na ndani ya miezi michache unaweza kuingiza dola karibu milioni moja.. inabidi ueleze zimetoka wapi? Aidha tuamini kuwa alikuwa anazifukia ardhini nyumbani kwa muda wote huo na akaamua kuzipeleka benki ya Jersey au zilitoka mahali fulani. Sasa uzuri wa kiasi kikubwa cha fedha it always leave tracks...

Yep, hiyo argument ndiyo nayotaka. na ndio maana nikasema 'On this logic (and this logic only) I am not surprised he could have that couple million 'vijisenti' in Jersey.'
 
That logic is rather academic to be useful, too many assumptions and unknown entities.

Why, it is worse than Drake's Equation.
 
there's something called the money market peopla or the stock market...it can do wonders!!! even with a few hundred dollars
 
Awe na vijisenti halali na badala ya kutetea upatikanaji halali wa vijisenti hivyo akakubali kujiuzulu uwaziri.

Kama hivyo vijisenti vingekuwa vimepatikana kihalali basi angesimama hadharani na kueleza vyanzo mbali mbali ambavyo ni halali vilivyomsaidia kupata vijisenti hivyo na kisha kutamka kwamba SIJIUZULU NG'O KWA SABABU VIJISENTI HIVI NIMEVIPATA KIHALALI, RAIS ANA UWEZO WA KUNIFUKUZA KAZI LAKINI MIMI SIJIUZULU KWA SABABU SIJAFANYA KOSA LOLOTE, lakini wapi amebaki anabwabwaja tu!
 
Actually nadhani its very simple kwenye dunia ya leo mtu kuwa na pesa nyingi kama hivyo na ukaweza kuzi account for.

Mfano kama ana ma Lawyers wa zuri na anao ma accountants wazuri sidhani kama kuna tatizo...hawa jamaa wa SFO siyo wazuri kama wanavyotaka nyie wazalendo mjue

Sema ma osi wengi kwetu bado wana ujinga wa kuweka pesa kwenye off shores kama Jersey au SWISS au tuseme kule CAYMAN ambako at most wamejazana FBI,YARD na INTERPOL

I just hope kuwa kaziweka kwenye untraceable stocks hivi mnafikiri SAVIMBI wa UNITA walikuwa wanafund vipi vita ?

na wale TAMIL TIGERS wa Sri Lanka wanafund vipi vita vyao?

So lets not jump the gun eti pesa alizonazo Chenge kaziiba

Jiulizeni hao waingereza wamerudisha kiasi gani alichoiba BABANGIDA na ABACHA?

hapo sijaanza kuwazungumzia hao WASWISS


Hivi mnajua waarabu walipoanza kuondoa pesa zao toka USA after 9/11 baada ya witch hunts za wamarekani kulitokea nini?

Nakushangaeni mnangangania kuwaona hao SFO kama vile ni the cleanest of the clean na wana intereste za Tanzania. Kila kukicha nakuambieni mfano jiulizeni DFID washaingiza kiasi gani kwenye miradi ya maendeleo Tanzania na kiasi gani kimerudi UK

 
Wakuu,

Mtu akiwa na pesa halali hahitaji kwenda kuzificha kwenye kisiwa kinachosifika kwa uwekaji wa pesa haramu kama kule Jersey, UK. Ingekuwa pesa yake halali angeiweka London au miji mingine ya wastaarabu.
 
there's something called the money market peopla or the stock market...it can do wonders!!! even with a few hundred dollars

Yes that is true, but where is the evidence? Tanzanians are waiting to hear from Chenge.
 
Wakuu,

Mtu akiwa na pesa halali hahitaji kwenda kuzificha kwenye kisiwa kinachosifika kwa uwekaji wa pesa haramu kama kule Jersey, UK. Ingekuwa pesa yake halali angeiweka London au miji mingine ya wastaarabu.

obviously you're illeterate in finance, areas like jersey have good tax returns that's why investors favour them duh!!! go to school and learn something
 
Chenge hakusoma Harvard law school kama inavyodaiwa. Alisoma mjini Washington DC na Harvard iko Massachussets. Malipo ya $200K kwa kila mikataba mibovu na uuzaji wa madawa ya kulevya ndivyo vilivyompatia utajiri huo haramu.

Mkulu Jasusi,

Hii ya kusoma DC hata mimi nimeisikia mahala. Tupe issues!
 
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!!

Baada ya kukaa na kutafakari, na kuangalia kisomo cha Chenge, na kwavile kapitia Havard Law school, na pia amekuwa kama State Attorney kwa zaidi ya miaka 30, basi naona kwa kweli kutengeneza hivyo vijisenti ni kitu kidogo sana kwake.

All he needs to have done is a number of consulting jobs or presentations either at Havard itself or other institutions in different parts of the world. For him to be a State Attorney for that long, he has a wealth of information to share to the world.
Clinton analipwa kama £75,000 per lecture. Cherie Blair £30,000. As far as I am concerned someone like Chenge would have been highly regarded due to his position and his education. Even if he got paid £5,000 per lecture, calculate that maybe 5 to 10 lectures/presentation per year, over a stretch of 20years, plus smart investment in property (say UK).

On this logic (and this logic only) I am not surprised he could have that couple million 'vijisenti' in Jersey.

Tatizo ni kuwa Chenge hakuwa anakuja kufundisha Havard kati ya mwaka 2003 na 2006 ambapo report za kijasusi zinaonesha alipata mabilioni ya mapesa.
 
Back
Top Bottom