Ukiambiwa ukapimwe akili unadhani dakitari kakosea!
Ndio shida ya wengine mkikunwa mnakimbilia watu wakapime, Unapoongea kitu uwe na uhakika wewe unabwata tu umejipima kama una akili kamili. Au ndio nyie wenye hasira kuwa umaskini wenu umeletwa na kina chenge? Kabla hujasimulia kitu kifanyie utafiti uwe na uhakika sio kubuni tu kufurahisha ukurasa