Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,884
- 54,125
Kweli? Afadhali sisi wa mikoani haituhusu.😝😝😝Tozo na ada ndio joto la jiji kwa sasa
Kweli? Afadhali sisi wa mikoani haituhusu.😝😝😝Tozo na ada ndio joto la jiji kwa sasa
Nikumwagie mdomoni au KWNY 0 ?Sasa Ni zamu yako. Tega vzr
hahhahahahaha kmmmmkGuest mbona hamlalamiki na mnakaa masaa machache tu? Tena hapo hapo Dar,?
Hajui raha ya mkojo ule falasi huyu!hahhahahahaha kmmmmk
Mwigulu nchemba amesilimu?Mama hana washauri wanaomtakia jema,wengi wanaoshauri sio ma expert aliwachukua kwa kigezo cha udini,sasa wajanja wanapita na ajenda zao bado hana taarifa!
Akae vizuri watu wanamuharibia legacy yake live live bila ye kujua!
Haya maneno yako yangekuwa na mashiko sana endapo nchi ingekuwa inatawaliwa na Chadema au ACT - Wazalendo, baada ya kuiangusha ccm kwenye uchaguzi mkuu uliopita!Aliposema mtanikumbuka mlimtukana na kumuita majina mabaya...
Duuuuuu.....Cha ajabu kwao hamna mabadiliko ya ajabu kama kwa wengine!
View attachment 1855686
Ungejikita kwenye agenda iliyopo mezani ingependeza zaidi, sasa mambo ya udini yanaingia vipi hapa? Acha kufikiri kijima mkuu, yaani mahali kukiwa na ratio hata ya 4/10 Muslim katika uteuzi wa nafasi yyt ni shida nchi hii sababu ilishazoeleka ratio ya 9/10 au 10/10 Christian huko nyuma?.Mama hana washauri wanaomtakia jema,wengi wanaoshauri sio ma expert aliwachukua kwa kigezo cha udini,sasa wajanja wanapita na ajenda zao bado hana taarifa!
Akae vizuri watu wanamuharibia legacy yake live live bila ye kujua!
Bei mpya za miamala ya kutuma na kutoa pesa linatoa picha mbaya serikali.
1. Serikali haiko na wananchi
2.serikali ingekuwa karibu na wananchi ingejua wananchi wana HALI GANI.
Hizo bei ni kubwa haikubaliki.
Mfano kutuma TSH 100000/= tunduma nikiwa mbeya
Kutuma= 3000
Kutoa = 7000
Jumla. = 10000
Maana yake:- nilitaka kutuma TSH 100000 nilazima niwe na zaidi ya TSH 110000.
Maana yake nini.
Maana yake ni hii hapa chini:-
Mbeya tunduma nauli = TSH 4000
Tunduma MBEYA
Nauli= TSH 4000
Kwanini hiyo hela nisipeleke mwenyewe nikaokoa TSH 2000.
Au nikampa dereva TSH 4000 anipelekee.
Hili jiwe tutakwepa.
Tutatumia mtandao ambao siyo rasmi wa mabasi ambao ulikuwapo hata kabla ya mpesa.
Kuna uwezekano.Haya yote yameanzia kwa magufuli. Kwanza alisababisha tukawa na wabunge vimeo wasio na akili wamejazana kule bungeni kwa kuiba kura.
Kuna yale mamistari marefu,nyuma ya mtu mwenye kikwapa,siku nzima.
Dah hatariKumtumia mtu 1M mpaka 3M ni kama 14,400.. kwa mfano niko Dar.... Kariakoo to Kimara
Nachukua 1 M naweka mfukoni napanda mwendokasi naenda nampa hela yake then nauli ni 650 kwenda na kurudi 1300 tu... Kwenye 14400 nakuwa nime save 13,100 nzima
Naye aliyekusudiwa aweza aje chukua fedha yake kwa gharama hiyo hiyo.😆😆😆 PambanaKumtumia mtu 1M mpaka 3M ni kama 14,400.. kwa mfano niko Dar.... Kariakoo to Kimara
Nachukua 1 M naweka mfukoni napanda mwendokasi naenda nampa hela yake then nauli ni 650 kwenda na kurudi 1300 tu... Kwenye 14400 nakuwa nime save 13,100 nzima
Tuanze uza vocha kama mwanzo.Nchi ishaoza hii kila mtu anakuja na tege lake ili mradi kuahiribu tuu leo Mpesa kesho litaibuka jambo lingije maana hawana ubunifu wa kodi mpya tofuati na kuongeza kodi kwa Wananchi zisizoeleweka...
Acha tuokoe muda,nguvu na gharama maana hamna namnaNaye aliyekusudiwa aweza aje chukua fedha yake kwa gharama hiyo hiyo. Pambana