Rurakha
Senior Member
- Oct 20, 2019
- 121
- 209
Napenda kuwataarifu kuwa Tozo zilizofutwa ni Kwa miamala ya kutuma pesa pekee
Mfano umeweka pesa kwa Wakala na umahitaji kufanya transfer kwa nature ya maumala huo Hauna Tozo
Ila ukienda Kwa Wakala au Benki kutoa pesa utakatwa Tozo
Mfano nimeambatisha makato ya mtu anaetoa 70k Kwa Wakala wa CRDB atakatwa kama ifuatavyo
1. Ada ya muamala ni 3284.86
2. Tozo ya Serikali 573
Jumla ya Makato ni 3857.86
Lakini Kwa taarifa nimezopata wakati mteja akiwa anatoa hatokua na access ya kuona haya makato ila Wakala atayaona
Makato haya yako applicable Kwa wanaotumia Benki na Mitandao ya simu
Binafsi naona ni makato makubwa sana ndio maana Benk zinapata faida kubwa sana tuendelee kupaza sauti hizi Tozo za kinyonyaji zifutwe
Mfano umeweka pesa kwa Wakala na umahitaji kufanya transfer kwa nature ya maumala huo Hauna Tozo
Ila ukienda Kwa Wakala au Benki kutoa pesa utakatwa Tozo
Mfano nimeambatisha makato ya mtu anaetoa 70k Kwa Wakala wa CRDB atakatwa kama ifuatavyo
1. Ada ya muamala ni 3284.86
2. Tozo ya Serikali 573
Jumla ya Makato ni 3857.86
Lakini Kwa taarifa nimezopata wakati mteja akiwa anatoa hatokua na access ya kuona haya makato ila Wakala atayaona
Makato haya yako applicable Kwa wanaotumia Benki na Mitandao ya simu
Binafsi naona ni makato makubwa sana ndio maana Benk zinapata faida kubwa sana tuendelee kupaza sauti hizi Tozo za kinyonyaji zifutwe