Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,261
- 1,883
Sisi kwetu umeme upo masaa 24 angalieni labda mnatumia sana majiko ya umeme!!
weka simu chaji haraka sana mkuu, wana tabia ya kuonjesha umeme ukijisahau tu wanachukua umeme wao.
.....nimecheka km mazuri
Hata Babati ( Manyara ) wamekata toka saa 4 asubuhi na haueleweki mara urudi mara ukatike ni taflani.
Viwanda bila umeme naona inawezekana.
......Sisi kwetu umeme upo masaa 24 angalieni labda mnatumia sana majiko ya umeme!!
NYIE SI NDIO MLIMCHAGUA, KUMBE NA NYIE MNAKUMBWA NA MGAO, AU ANAWAKUMBUKA KWENYE BOMOA BOMOA TUHuku Mwanza UMEME hakuna tangu asubuhi na hatujapata maelezo yoyote pia MAJI imekuwa ni kawaida kukatika kila siku wakati Ziwa tunaliona hapo na hakuna maelezo yoyote kwa nini hakuna maji, yaani hizi taasisi mbili ni pasua kichwa sijui hivyo viburi wanavitoa wapi..!!
......Nimeamka alfajiri nimekuta tanesco washafanya yao,ikabidi nitumie tochi kujiandaa. Mpaka sasa umeme hakuna labda watarudisha jioni. Pia kuna tabia tanesco kunakua kama kuna mtu anachezea switch (zima, washa, zima, washa) watakuja kutuunguzia vitu bure.
Yupo mbunge wa chattle hapo kapewa mikoba ya uongozi na mtangulizi wakeNi aibu kwa waziri anayehusika,tangu prf mhongo aondoke imekuwa shida
Mmekata tena umeme...!Umeme unakatakata mwanza saa hii Hamna umeme whats wrong with u guys!
Kama jana uliangalia taarifa ya habari ITV usiku saa mbiliInawezekana usemacho ni kweli kwanini wasitoe taarifa?
Na hili tatizo mbona hii ni wiki ya pili umeme una katikakatika hovyo??
Unatumia aina gani ya umeme mkuu?Hivi kuna watu bado mnatumia umeme wa Tanesco? Kiukweli mimi nimezoea nina wiki ya Tatu nimekataa umeme wao na nijipanga nipate umeme wangu wa uhakika
Eti nguzo za zege