wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,460
- 2,071
Mkuu hata wakija hapa unadhani ndio watakubali kuwa kuna mgao, wakija watapiga porojo tuuh kuwa ni matengenezo kama walivyosema jana kwenye TV sijui gas ilikuwa inavuja lakini wamerekebisha ila sababu hawajui kuwa njia ya muongo ni fupi pamoja na kufix hiyo leakage ya gas ila umeme unaendelea kukatika kama kawa, so kama wakija kujibu hapa usitegemee jipya toka kwao mkuu, Nawaonea huruma sana watanzania haswa wale wenye biashara zinazotegemea nishati ya umeme.TANESCO Njooni huku kwenye uzi wa kawaida mtoe majibu, au anzisheni uzi wenu ili uunganishwe na huu ili mtoe majibu ya kuridhisha