Naona ulifurahishwa sana na ukatili aliyofanyiwa Tundu Lisu na huyu mbwa wenu.
Kumuondoa Ndugai badala ya kuondoa mfumo haitaleta Bunge huru.Atakaekuja uzi utakuwa kama uleule wa Ndugai kwa sababu tatizo halikuwa Ndugai bali ni mfumo.

Sisi kama wananchi tulipaswa kulinda mihimili kuhakikisha kuwa inakuwa huru pamoja na kuhakikisha kuwa tunakuwa na mfumo unaolinda mihimili badala ya kuhangaika na mtu(Ndugai).

Ujinga uliofanyika wa Ndugai kujiuzulu kwa sababu tu alitoa maoni yake kama mhimili huru itampa Rais kiburi zaidi cha kuendelea kunyanyasa mhimili wa Bunge pamoja na mihimili mingine.
 
Mapambano bado yana endelea au ngumi ndio zimekwisha?

NDUGAIashındwa.jpg


NDUGAI PICHA YANGU YA LEO .jpg
 
Magufuri alikuwa akikopa kwa siri huku wenye akili tukijua na Ndugai akijua na akimsifu kinafki. Ndugai ikipendeza aonyeshwe documents Magufuri alikopa kiasi gani tena aseme wazi mbele ya umma. Watu walizibwa midomo leo anaongea mjinga sana
Tena alikopa toka kwa mabeberu usiku mchana anawananga
 
Hawezi jiuzulu. Huu upepo utapita na ataendelea kuwa speaker hadi 2025.
Pamoja na kuwa kalazimishwa lakini pia ameonyesha uthubutu,kuna watu wanafiki sana leo nimemuona Gwajiboy na akisifia mapambio na hata sasa kaonyeshwa runinga ya serikali Zanzibar, toka lini Gwajiboy akaonekana wa maana huko Zenj hadi kuonyeshwa na TVZ ?
 
Job ndie speaker wa hovyo kabisa tangu bunge liwepo ameshushaa Sana hadhi ya bunge
 
Spika ajiuzulu pasiwe na press conference? Hata hamna aliyeona akikabidhi barua nasema akidhurika shauri yenu
 
Shinikizo la kutaka Spika ajiuzulu ktk nafasi yake limeshikiwa bango zaidi na wafuasi wa Mbowe/Chadema.

Niwazi kabisa Spika alikuwa mwiba mkali sana kwa ktk kusimamia sheria na kanuni za mbunge na haswa kwa wapinzani ambao walitaka kuleta mchezo.

Sasa leo hii hatuwezi kushangaa kuona genge la Mbowe likishangilia na kupiga mayowe eti Spika ajiuzulu.

Kamwe wana CCM Makini wasikubali kuingia ktk mtego huuu.

Inatosha na Inatosha sana kwa kitendo cha kiungwana alicho kifanya Spika cha kuomba radhi.

Kamwe tusikubali kuendelea kumdhalalisha Spika wetu aliye fanya kazi kwa umahiri mkubwa na kuisaidia nchi yetu.

Ni vyema wana CCM wakawa makini ktk kipindi hiki cha upepo mbaya, wapaswa kuwa watulivu na nidhamu ya hali ya juu.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kazi iendeleee kama kawaida.
Komba radhi kwake uanona kweli ni kitendo cha kiungwana? Kwa nini? Hakuomba radhi kwa yale aliyosema. Aliomba radhi "kama amemwudhi rais" kwa sababu eti "watu" (??nani) wamekatakata maneno yake. Je hii ni kweli? si alisema uwongo? Maneno gani yalikatwa?
Sasa kuomba radhi kwa uwongo ni kweli kiungwana????
 
Nimemtumia message Waziri fulani hivi kumuuliza 2025 utachukua fomu?

Kanishushia matusi ya nguoni sijui kosa langu nini?


Naskia John Mnyika aliewateua Kina Halima Mdee na wenzie 18 kuwa Wabunge wa kuteuliwa na Job Ndugai alieandika barua ya kujiuzulu ni Ndugu wa 'toka nitoke'
 
Hata mimi kwa hili nampa pongezi, kwa Afrika mtu kuachia madaraka ni ngumu mno. Waafrika tunapenda sana kuwa na madaraka makubwa na kuabudiwa, ndio maana hata mtu akiwa na nafasi au elimu fulani anatamani kuitwa na nafasi hiyo.

Wenye madaraka waige hili, ukiona haupo sawa na wenzako just waache waendelee coz mawazo yenu na dira zenu ni tofauti.

Ninamlaumu tu kwa kuomba msamaha, terrible and technical mistake.
 
Back
Top Bottom