Don Moen
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 1,566
- 2,944
Kazi ya Spika wa bunge la JMT ni kuongoza mijadala ya kuisimania serikali kama mhili unaojitegemea.
Bunge ni uwakilishi na sauti ya wananchi dhidi ya serikali.
Inasikitisha sana wewe Spika Tulia Aksoni umegeuka sehemu ya kuitetea serikali kwa nguvu zako zote.
Umepoka nafasi ya Waziri mkuu.
Hii ni aibu. Ndugai aliyafanya haya yote tena kwa vitisha lakini sasa anasugua benchi hata hadharani hataki aonekane.
Nikukumbushe kuwa HAKI HUINUA TAIFA BALI UOVU NI AIBU YA WATU WOTE.
Leo uko hapo kumpendeza Samia na kuiacha kazi yako ya kuisimamia serikali.
Tabia na udhaifu wako umejionyesha pale baadhi ya wabunge walipoonyesha kuukosoa mkataba mchafu wa DWP hasa Mdee, umemwandama na kumtoa kwenye reli.
Tunafahamu Mdee yuko hapo kimakosa lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa tunaweka tofauti zetu pembeni. Taifa kwanza.
Usipojirekebisha AIBU YAKO INAKUJA.
Bunge ni uwakilishi na sauti ya wananchi dhidi ya serikali.
Inasikitisha sana wewe Spika Tulia Aksoni umegeuka sehemu ya kuitetea serikali kwa nguvu zako zote.
Umepoka nafasi ya Waziri mkuu.
Hii ni aibu. Ndugai aliyafanya haya yote tena kwa vitisha lakini sasa anasugua benchi hata hadharani hataki aonekane.
Nikukumbushe kuwa HAKI HUINUA TAIFA BALI UOVU NI AIBU YA WATU WOTE.
Leo uko hapo kumpendeza Samia na kuiacha kazi yako ya kuisimamia serikali.
Tabia na udhaifu wako umejionyesha pale baadhi ya wabunge walipoonyesha kuukosoa mkataba mchafu wa DWP hasa Mdee, umemwandama na kumtoa kwenye reli.
Tunafahamu Mdee yuko hapo kimakosa lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa tunaweka tofauti zetu pembeni. Taifa kwanza.
Usipojirekebisha AIBU YAKO INAKUJA.