Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,815
- 11,992
CCM kumekucha kampeni za nguvu zenye hoja za nguvu zenye ushahidi verifiable tukisema tumefanya hiki mwenye macho haambiwi tazama Kama ndege anaziona live,Kama hospital anaziona live ,Kama barabara anaziona live Kama elimu bure anaona live.kama Umeme Hadi vijijini anaona liveWashtue WengineView attachment 1547465
Itakuwa historia FAKE na dunia haitamuelewa. Hawezi kufanya hilo bila ushahidi usio na shaka!Hivi itakuwake kama Chadema wakimuwekea pingamizi JPM na NEC chini ya Kaijage kumuengua... Kaijage atakuwa amejijengea historia ulimwenguni humu ya kukumbukwa hadi kizazi cha nne....
Vipi kama wakimtolea JPM ushahidi usio na shaka- Je kaijage kama Judge anaweza kufanya maamuzi ya kumuengua? Nafikilia tuItakuwa historia FAKE na dunia haitamuelewa. Hawezi kufanya hilo bila ushahidi usio na shaka!
Uzuri sio kila kichaa ni kipofu kuwa haoni chochote . Ila kichaa ni yule mzima wa akili ambaye anaona kitu nakukishika bado anasema hajakiona.Esijiara
Stigilazi
Drimulaina
Maflayiova
Zahanati 400
Na hadithi yangu ikaishia hapo....Huyu mzee ukienda kwenye ballot chamber ukamuwekea tiki ukitoka hapo nakushauri uende mirembe maana una ugonjwa wa ukichaa!
Nashuhudia kwa mara ya Kwanza Rais anaongoza term moja.
Safari hii, Mshindi hapangi NEC, CCM, Polisi wala Wapiga kura.
Unauliza ni nani?
Tusubiri 28th October
mgombea wenu amedodaaaaMada Maalum itakayozungumzia ziara nzima kwenye mchakato wa kampeni za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mama Samiah Suluhu.
Agosti 25, 2020
M/Kiti wa NEC, Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa amemteua Dkt. John Pombe Magufuli kuwa mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mama Samia Suluhu kuwa mgombea wa kiti cha Makamu wa Rais kupitia CCM.
UPDATE:-
Mtasubili sana mpaka baada ya miaka 200 ijayo. Mh. JPM ana subiria tarehe maalum ya kuapishwa tuu. Wananchi tupo naye kwenye kampeni bega kwa bega, mlango kwa mlango, kura zote ana achukua anaweka waaaa. Bila kutumia nguvu yeyote.Nashuhudia kwa mara ya Kwanza Rais anaongoza term moja.
Safari hii, Mshindi hapangi NEC, CCM, Polisi wala Wapiga kura.
Unauliza ni nani?
Tusubiri 28th October
Ushahidi si ndiyo hizo facts ambazo Lissu atazitoa with reference to The national election act,Katiba,na kanuni mfano anaweza kusema Defect ya kwenye fomu ni mathalan mgombea Fulani hana sifa kwa sababu hana sifa za kuwa mbunge,kinyume na ibara y ya katiba,Itakuwa historia FAKE na dunia haitamuelewa. Hawezi kufanya hilo bila ushahidi usio na shaka!
Hayo yote, hapo juu. Yanafanyiwa kazi na yamefanyiwa kazi. Kuwa mpole mzee Saveya. Maendeleo haya chamaKula. Mwalimu atapata Laptop
Milioni 50 kila kijiji
Watumishi wameongezewa mishahara na madaraja
Haki za binadamu ni shwari kabisa
Uchaguzi ni huru na wa haki hauna fitina si mmeona wamepita bila kupingwa
Hali ya ajira imekuwa nzuri na uchumi umepanda