Wacha Mchezo; hapa je?Muda wa ibada umefika, ile umejiandaa vizuri uko njiani aidha kwa gari, pikipiki, baiskeli au kwa mguu . Mara anatokea mdada anakuita ukamtibu nyumbani/ghetto kwake.
Anakuambia ana mwaka hajapata dawa na mume/mpenzi wake yuko nje kikazi.
Kwa mzigo huu hapa chini ni wanaume wangapi tutashinda hilo jaribu?
View attachment 2027949