Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
okeeyLife starts with Murder! Katika sperms zaidi ya million, yako ndio ili survive ikatungwa mimba ukazaliwa.
Zingine zilikufa,ulisababisha zife...... Life is the race .
okeeyLife starts with Murder! Katika sperms zaidi ya million, yako ndio ili survive ikatungwa mimba ukazaliwa.
Zingine zilikufa,ulisababisha zife...... Life is the race .
😂😂😂Sasa kwanini tunajisumbua na dawa ya corona?
Hapa tutakuwa tunaweka nukuu/quotes mbali mbali za watu mashuhuri. Unaachiwa uwanja mpana kuchagua nani kwa wewe unamuona mashuhuri unatuwekea nukuu yake. Lengo la nukuu/quotes hizo ni kujifunza kutokana na nukuu/quotes hizo.
Karibuni sana
“Life is 10% what happens to you and 90% how you react to it.”
― Charles R. Swindoll
How did we react to the 2015 stimulus? Our Life until recently, was determined by how we reacted to it
Tunajifuza nini kutoka hapa"Ukinizingua nakuzingua" - Samia SH
There's daggers in men's smilesHapa tutakuwa tunaweka nukuu/quotes mbali mbali za watu mashuhuri. Unaachiwa uwanja mpana kuchagua nani kwa wewe unamuona mashuhuri unatuwekea nukuu yake. Lengo la nukuu/quotes hizo ni kujifunza kutokana na nukuu/quotes hizo.
Karibuni sana
“Life is 10% what happens to you and 90% how you react to it.”
― Charles R. Swindoll
How did we react to the 2015 stimulus? Our Life until recently, was determined by how we reacted to it
Unaona mafunzo makubwa sana hayo. Kuna kitu nimepataMahathma ganndhi (sina uhakika )
Aliwahi kusema "be the change that you want to see in the worlD"
Mtume muhammad aliwahi kusema "Wivu wa Mungu unakuja ni pale mtu anapoyaendea(kuyafanya) aliyoyaharamisha huyo Mungu"
Mtume muhammad aliwahi kusema "Ongeza japo maji kwenye mchuzi wako ili upate kumpa na jirani yako "
Mtusme aliwahi kusema pia "sio katika sisi mtu ambae hawaheshimu wakubwa (waliomzidi umri"
Mh, sijakuelewaTanzanian brainwashed for 5 years.