macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,833
- 39,679
Tanzania nchi ya kijima sana. TRA ndiyo wanatakiwa kuwa na hiyo program na iwe bure kwa kila mfanya biashara. Badala wavutie watu kulipa kodi wanazidi kuwakamua. Kwa nini wasitengeneze program na kutoa bure ili watu wavutike kulipa kodi badala ya kuachia vishoka wakamue watu laki tatu?Ndio zinaweza lakini ni lazima upate/ununue/uazime/ukodi printer yenyewe. Kama unanunua printer zinaanza laki mbili