Serikali kutumia Tsh. Bilioni 190.57 kununua V8 mpya za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Ujenzi wa Makazi na Utawala

Hatuwezi kuendelea hata siku moja Kwa mipango mibovu kama hii ya kununua magari ya gharama wakati serikali imeshindwa kutekeleza majukumu yake mengi ya msingi mf; kurekebisha Miundo mbinu ya miji mikubwa, km Arusha, Dar nk. Nchi nyingi kwasasa zinabana matumizi na Kutafuta namna ya kuongeza mapato lakini Tz, tunaenda enda kama tumekatwa vichwa.
Matumizi mengi ya serikali yapo kwenye magari ya gharama na kuyahudumia.
 
Ni jambo la busara sana. Kuinua uchumi wa nchi. Mama abarikiwe sana. Ametuona kwa kweli. Magari mengi yalikuwa ni model iliyopita kwa kutununulia haya na hizi mvua kwa kweli ametutia moyo sana.

Miaka mingine 30 mbele aongezewe.

View attachment 2965685
kweli mheshimiwa mwenzangu wametujali mno kwa kutupatia hii mikoko ya nguvu
nampenda mno mama samia
 
190,570,000,000/113=Tshs.1,686,460,177 kwa kila Gari na huku NHIF kuwahudumia wadanganyika tu miyeyusho.

MAMA OYEEEEEEEEEEEEEEE.
CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
Tatizo mnakosa akili maana hiyo pesa ni ya
Magari 113
Majengo
Miundombinu mingine

Hizo hesabu umezitoa wapi?
 
Ni jambo la busara sana. Kuinua uchumi wa nchi. Mama abarikiwe sana. Ametuona kwa kweli. Magari mengi yalikuwa ni model iliyopita kwa kutununulia haya na hizi mvua kwa kweli ametutia moyo sana.

Miaka mingine 30 mbele aongezewe.

View attachment 2965685
Magari ni vitendea kazi ,Sasa unatarajia ukaguzi na ufuatiliaji ufanyikeje bila magari labda?

Kwa taarifa Yako tuu Hadi Sasa wamenunua magari zaidi ya 700
Screenshot_20240416-213850.jpg
 
Nchi imepalanganyika sana baada ya kututoka yule mzalendo mwaka2021.Inajiendea tu.
Bado hujasema 👇👇
Screenshot_20240416-213850.jpg


Pili upunguani wako kamsimulie mkeo.Mwendazake MaDED walikuwa wanajinunulia magari ya mamilioni kinyume na stahiki zao.Huu ujinga haupo saizi Serikali ndio inanunua magari kadiri inavyoona inafaa.
 
Hatuwezi kuendelea hata siku moja Kwa mipango mibovu kama hii ya kununua magari ya gharama wakati serikali imeshindwa kutekeleza majukumu yake mengi ya msingi mf; kurekebisha Miundo mbinu ya miji mikubwa, km Arusha, Dar nk. Nchi nyingi kwasasa zinabana matumizi na Kutafuta namna ya kuongeza mapato lakini Tz, tunaenda enda kama tumekatwa vichwa.
Matumizi mengi ya serikali yapo kwenye magari ya gharama na kuyahudumia.
Kwani hayo unayoyasema wewe hayafanyiki?

Kwako gari unalichukuliaje maana naona kama mnapagawa.Gari ni sehemu ya vitendea kazi.
 
Magari ni vitendea kazi ,Sasa unatarajia ukaguzi na ufuatiliaji ufanyikeje bila magari labda?

Kwa taarifa Yako tuu Hadi Sasa wamenunua magari zaidi ya 700View attachment 2965723
Wewe bwege kweli. Sasa nani kakataa kuwa magari si vitendea kazi? Unakuja mbio umetoka msalani na kopo la kutawadhia lina maji kurukia hoja hata hujaielewa? Umbea.na ukilaza mbaya sana.
 
Back
Top Bottom