cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,297
Vile nina siku nyingi sijanunua vocha za kukwangua. Hapo nilikuwa sijui hata vocha ipi ni ya mtandao upi![]()





weeVile nina siku nyingi sijanunua vocha za kukwangua. Hapo nilikuwa sijui hata vocha ipi ni ya mtandao upi![]()





weeMajirani wakigombana; shika jembe ukalimeBora umejiwahi
Chawa nilitaka niingie
Kusaga kunguni
Niko poa Wige. Za wewe!Mambo
Uko poa
My dear Kama huna roho hyo huwezi,Mimi nshapigwa Sana!Hawa bodabida kuwaachia chenji ndo kawaida nawahi minadani Nampa 10k alfajiri Hana chenji ukimpigia baadae hapatikaniau hapokei yaani Sasa hivi mmekaa tu!
Ndugu ndo muflisi,mchezo nshadhulumiwaga pia yaani tafrani tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app





poleeeeeeeh.Soon naenda kutafuta mdoli wa Kike hawa mabinti si hawatutakLabda tumeumbwa kuwa ma single


Iphone ni simu pekee? Yan nyieacha dharau wee, khaaaah
Nimekumbuka kitu, akuuuuh iphones sitakiiii.
Limegoma etican i borrow a kiss? I promise i will give it back..
🙄🙄 Hilo tatizo. Acha niendelee kuwa na subira.. Midoli, porn, masturbation ni rafiki zake na ushoga.. 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️Soon naenda kutafuta mdoli wa Kike hawa mabinti si hawatutak![]()
Etihad?Landa kuchezea kwenye 6'5 X 6'5
Nimepitwa hivihivi niko nasinzia sinzia tuNdiwooooooooh
Kweli mtu unapata vocha ya 2000 pekee ako kwenye mahusiano utatulia kweli ww na utaachwa sana tu![]()








Fedha ni kipimo cha utu (IMO). Ukimess up na Tsh 10 yangu; nakufuta na kwenye maisha yangu. Mtu asiye na utu; hafai duniani wala akhera. Wewe kwa sababu ya utu; unajivisha viatu vyake na kuibeba shida yake kama ya kwako unamsaidia; lakini yeye hakumbuki kama ulimsaidia so afanye arejeshe. Worse enough ni wale unamkopa, anakuzungusha kulipa ilhali hela anayo; baada ya muda akipata shida anakuja kukukopa tena na ahadi za kulipa deni la kwanza juu. Kuna watu hawana aibu, hawana utu na hawana shukrani pia.





mama malezi khaaaahWana roho ngumuIvi na kujipitisha pitisha kwetu koote hakuna hata mdada mmoja wa kutuonea huruma
Hatuna hela, ndio maana roho ngumu.. Kilainishi cha roho ni pesaWana roho ngumu
Some people are ingrates and inconsiderate.
Ningekuwa karibu ningekushtua na kofi; washakuona poyoyo








Hilo tatizo. Acha niendelee kuwa na subira.. Midoli, porn, masturbation ni rafiki zake na ushoga..
![]()



ngoja niende banda umiza ninaweza pata pisi maana pisi nazo zinapenda mpira 

PepNdio mdudu Gani?![]()
Acha tu.
Kuna kipindi ilikuwa inafika nakuwa Sina hata Hela ya kula, boom loote nimekopesha
Nyumbani wakaniambia wewe ni mpumbavu.
Nikiwa nikichukua hela zote namtumia mama.
Ananipa ya kutumia kila wiki.
Unajibana kula wali wa buku,unamhurumia mtu unamkopea elfu 10..badala ajibane ale chakula Cha buku siku 5 ,yeye anarudi na Chips yai mishkaki soda...Uliyempa hela unakula wali maharage.
Halafu kesho anakuja tena kuomba hela imeisha.







nacheka km mwehu, lol