Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,488
- 203,174
Naomba jeroNimekula 2,000 la voda 🤠🤠ðŸ¤
Naomba jeroNimekula 2,000 la voda 🤠🤠ðŸ¤
Af hapo za voda ni zipi?Amefanya vizuri za picha
Mpate bin sawiaaa
Za kupesti voda uwaga hata sihangaiki
We si mshkaji wangu wa damu kabisa eeh
Nigaie basi na mi moja
🤓🤓🤓🤓🤓🤓Naomba jero
Una sh ngapi?Af hapo za voda ni zipi?
Maana sijawahi nunua, em nielekeze zina rangi gani ili zikiwekwa za hivyo nisihahe
Ninae X tu hapa, sina maisha?Una sh ngapi?
Pambana na balaa lakoNinae X tu hapa, sina maisha?
UnajishauaaaPambana na balaa lako
My dear ulipata nimefurahi maana Carrasco putin alikuwa haelewi aanze na ipi au amalize na ipi mara akosee, mara simu istuck mpaka nimemwonea huruma! 😂
Shikamoo madam
Umneikumbusha Pesa zangu zilizo nje more than 2mHuku Tanzania ukimkopesha mtu hela unapoteza hela yako na unampoteza na yeye.
Kuna mwingine alikuwa mpendwa mwenzangu..tena kiongozi Fellowship.
Tulipoanza semester nilienda na nguo za mtumba..Mzee wangu alinipa mtaji..nikajumua mtoto wa watu.
Kufika chuo nikamwambia nauza nguo...akaniambia lete nikuuzie maana yeye watu wengi sana wanaenda rum kwake na anajichanganya sana na watu.
Nikampa...alinambia watu wananunua..nikafurahi nikamwambia basi zikiisha utaniambia.
Sikupata hela hata sh mia wala nguo.
Na hakuwahi kuzungumzia chochote na mimi nilikaa kimya hadi leo na nilishasamehe.
Kutakua na promotion ya voda hapaMjep kaka vocha tupia voda basi 🤠ðŸ¤
My dear Kama huna roho hyo huwezi,Mimi nshapigwa Sana!Hawa bodabida kuwaachia chenji ndo kawaida nawahi minadani Nampa 10k alfajiri Hana chenji ukimpigia baadae hapatikanimie ndo siwezi kabisaaaa, yaan kila nkijaribu kuacha, nashindwaaa.
Toka niko 4m 5 had leo, siwezi kuachaa yaan.
au hapokei yaani Sasa hivi mmekaa tu!Marhaba kaka mkubwa.... mzima wwShikamoo madam
Afadhali, saa ngapi ili nijiandae muda ukifika nikajifungie toilet muhindi akinitafuta anikoseKutakua na promotion ya voda hapa
Yeah name nimepata elf 2 zote Airtel..lain Moja n.ejaza nlikua nadaiwa nyingine sikua nadaiwa
Kujishaua muhimu dada, sina stress za kuachwa 😂😂Unajishauaaa