Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Nitafwariki kwa rahaTena sijui nianzishe
Mara naanzisha Uzi nimekuzimikia wige...si utazimia kwa furaha?

Nitafwariki kwa rahaTena sijui nianzishe
Mara naanzisha Uzi nimekuzimikia wige...si utazimia kwa furaha?





Hebu nikopeshee mie,Mimi sina mashoga.
Nikipita sehemu ni Salamu tu na Sinaga maneno.
Sasa sijui sura yangu imekaa kipole sana.
Yaani mtu akiniona huwa anakuwa comfortable kunieleza shida yake na huwa nasikiliza.








Habari
Hivi tushawahi kumsalimiana boss nakuonaga Kwa mbali![]()







shangaziiiiii😒😒😒 Ukishindwa huko twende mahali kuna pisi hadi za 150 /=ngoja niende banda umiza ninaweza pata pisi maana pisi nazo zinapenda mpira
![]()
Toka pepo ushindweUkishindwa huko twende mahali kuna pisi hadi za 150 /=






😊😊😊 Siku nikiotea mrembo wa jf.. Lazima nika publish kwenye kimasiahara na nianzishe thread 🤣🤣 ni bora nielendelee tu kuwakosaToka pepo ushindwe![]()
Mimi Ndugu kuna masuala wakiamua kucharuana wanacharuana haswaa huko kwenye grupu la familia wanasemaaaanaa wanachambaaana wanajadiliiii mie kimyaaa midamida nakomenti kwa ufupi dada Zangu sasa ni wanaongeaa balaaa









huo uzoba upi wee unao??🤣🤣🤣🤣coca nacheka huku nasinzia hapa ujue 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!huo uzoba upi wee unao??
Mama mtumishiNiko poa Wige. Za wewe!
Eeee ndiwoEtihad?
😂😂😂😂Nitafwariki kwa raha![]()
utuache lolUkiona mwanamke anapenda mpira ujue ana sauti kama ya mwanaume![]()
vipi mzimaYes yes dear,![]()
Iphones, limitations nyingi mnooo, afu kuna App zinagoma ku install. Nkaamua niachane nayo.Iphone ni simu pekee? Yan nyie
sio dharau
Nina experience









Poleeeeeeeeeh!!!!Nimepitwa hivihivi niko nasinzia sinzia tu
Nipe locationUkishindwa huko twende mahali kuna pisi hadi za 150 /=