cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Bi mzuri, tulaze salama na selfi matata wanaslfikaPoleeeeeeeeeh!!!!

Weuwee mimi huyooo Man City naenda kucheza timu anayoshabikia cocaEeee ndiwo
Bi mzuri, tulaze salama na selfi matata wanaslfika![]()





sina bundle, ko picha hai uploadiki.Weeeh!😂😂😂😂Ukiona mwanamke anapenda mpira ujue ana sauti kama ya mwanaume![]()
Weuwee mimi huyooo Man City naenda kucheza timu anayoshabikia coca






kesho tunaiua Borussia Dortmund km hatuijui vileee. Kama app gani?Iphones, limitations nyingi mnooo, afu kuna App zinagoma ku install. Nkaamua niachane nayo.
Heka heka zangu, kwa iphones ziligoma, na nkachagua heka heka, iphones hapanaaaa. Labda baadae nikimaliza heka heka.
![]()
Nishaacha kutazama hadi Klopp atakapoacha kuvuta bangi.kesho tunaiua Borussia Dortmund km hatuijui vileee.
Afu uwe buzzy kutazama leo Ajax anawabamizaaaa, weraaaaaaah
Hapana jamani; hela ni ngumu sana kwa upande wangu. Uwe na utu unirudishie basi. Mtu unaanza kudai hadi wewe ndiyo unaonekana msumbufu sasa aaahmama malezi khaaaah
Kama app gani?




za kiwaki, chimbozzz km chimbozz yaan aaaah nkaona wee, siweziiiii. Usijali talk dark guy. Naingia kwenye maombi kwa ajili yako; Bwana atakupatia mke mwemaMama mtumishi
Mimi mzima na nipo single
Nishaacha kutazama hadi Klopp atakapoacha kuvuta bangi.







nyie ccy mbna ghafla sana???Cc Mjepsina bundle, ko picha hai uploadiki.
Hapana jamani; hela ni ngumu sana kwa upande wangu. Uwe na utu unitudishie basi. Mtu unaanza kudai hadi wewe ndiyo unaonekana msumbufu sasa aaah






si unamuachia Mungu nawee mama malezi. Tusimchoshe Mungu; mambo mengine tumalizane wenyewesi unamuachia Mungu nawee mama malezi.
Sio vizuri hivyo
Kwa kweli
Utanipitia White House?? Maana leo niko night shift!Kesho tukashinde mgahawani kwetu😊
Popote utaposema nikupitie nakuja 😊😊Utanipitia White House?? Maana leo niko night shift!
A very friend of mine kanipigia sim,mwezi March"hallow udugu niazime laki moja nilipe mchezo kesho j1 narudisha bestie"miye Tena kwa no ipi?ntumie kwenye akaunti hii jina Fulani,miye Tena chwaaap!nikatuma!Hapana jamani; hela ni ngumu sana kwa upande wangu. Uwe na utu unirudishie basi. Mtu unaanza kudai hadi wewe ndiyo unaonekana msumbufu sasa aaah




na kauchuna km Hakuna kitu!