Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Ya mwaka jana novemba.Nikajua recent pic![]()
Hii siku nilikuwa nasafiri kesho yake.
Ila nataka nipike kuku hapa na tambi.
Ya mwaka jana novemba.Nikajua recent pic![]()
Oh basi huwezi kunipa🤐Hujui kama mimi pia ni mtoto nitaenda kulala?
Amina 🙏🙏Mjep una nafasi yako peponi pale VIP.
Nitakuwa nyuma yako.
Wewe ni Max Maximum, maximize au Maxence au Maximo 😂😂😂 ?
Mimi Ndugu kuna masuala wakiamua kucharuana wanacharuana haswaa huko kwenye grupu la familia wanasemaaaanaa wanachambaaana wanajadiliiii mie kimyaaa midamida nakomenti kwa ufupi dada Zangu sasa ni wanaongeaa balaaaNdugu zangu juzi walikuwa wananisema..Hadi nikaondoka.
Wanajadili..mmoja anasema yaani Mimi nimpe hela mtu ambaye siyo ndugu yangu??Siwezi!
Na nikimpa nahakikisha nadai🤣
🤣🤣🤣Mad Max Super MaxWewe ni Max Maximum, maximize au Maxence au Maximo 😂😂😂 ?
Nileteee hata kg3 tu 😋
Nakuja PM kukopaMjep una nafasi yako peponi pale VIP.
Nitakuwa nyuma yako.
can i borrow a kiss? I promise i will give it back..Ndugu ukiweza kumpa; mpe kiasi ambacho unaweza kuafford. Ila kuna ndugu wazungu kwelikweli; wanakopa na wanalipa; Mungu awabariki kwa kweli. Kama unaomba omba ijulikane moja; sio unakopa afu kulipa hutaki kisa ni hela ya ndugu yako.
Tunenepe ili iweje eti broo
Mweee unataka kunikamua hadi damu😂😂😂😂Nakuja PM kukopa
Yaani wewe Mbinguni uhakika.Amina 🙏🙏
Mwenyezi ayapokee maombi haya🙏🙏
Nakula nyumbani bure😁Unakula hivi bado unagombania vocha![]()
Kama ni Neno la Kristo nitakupa..Hilo ni bure.Oh basi huwezi kunipa🤐
Mnenepe na v2 vinenepeTunenepe ili iweje eti broo
Naogopa sana watoto😅Kama ni Neno la Kristo nitakupa..Hilo ni bure.
Hebu sema kwanza ni kitu Gani.Naogopa sana watoto😅
Hawajambo za masikuuu?Shemeji Mama Minza.
Hawajambo wanetu huko?