RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

Uko kulinda amani majukumu yao yanafanana?
Sory kuna police wapo congo kulinda amani km jw?
Tuanzie apo
Congo bado hakuna polisi wanaohudumu kule ila Darfur na Sudan kusini wapo.Pia naomba ufahamu kuwa deployment of policemen depends on UN bajeti,mlinzi wa amani wa kipolisi huwa analipwa hela nyingi sana tofauti na wa jeshi, utaratibu wa kimataifa ni kwamba polisi hulipwa na UN wkt mwanajeshi hulipwa na nchi yake alikotokea na hulipwa kulingana na cheo.kwahiyo bajeti ikiwa powa hivi karibuni Polisi wataanza kupelekwa huko Congo.
 
Mzee baba usijilishe Upepo na kujitoa ufahamu... Lugha ya kiswahili inaupungufu mkubwa wa Misamiati... Hivyo neo JESHI kwa Convinience likabidi litumike pia kwa hivyo vyombo vingine vya Kiraia...

Nyie ni POLICE FORCE and NOT ARMY/ MILITARY.....
Jeshi lolote duniani lazima linakuwa na Military Police (Polisi jeshi) sasa nashangaa kwa hawa polisi, polisi jeshi kwao sijuii watawaitaje! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Kwahyo utaratibu wa kusalute unajulikana kwa kila jeshi na askar anajua kinachotokea Ni ujeuri tu kila mtu kujiona yeye Bora kushindwa mwenzie
Sio kwamba kila mtu anajiona bora ila ni kuwa POLISI wanataka kujifaannisha na JESHi,,,, Yani mkuu polisi walivyowajinga eti wnataka kufananisha vyeo vyao pamoja na vyeo vya jeshi...

Yani ni mkituko cha karne.... Labda huenda ni kituko cha Tanzania maana duniai kote hicho kitu hakipo
 
sasa kumbe ni maamuzi tu,sio swala la vifaa.
Jeshi ni lazima liwe na uwezo mkubwa wa vifaa kuweza kukabiliana na maadui wa nje na ndio maana linaitwa jeshi, ila polisi silaha zao ni kwa ajili ya uasi mdogo mdogo pamoja na matishio ya amani ambayo ni madogo ya ndani(mamlaka ya kiraia) na ndio maana hata kama tishio likiwa ni kubwa la ndani ni lazima wapate msaada kwa jeshi ambalo lina uwezo zaidi, refer Kibiti.
 
Sio kwamba kila mtu anajiona bora ila ni kuwa POLISI wanataka kujifaannisha na JESHi,,,, Yani mkuu polisi walivyowajinga eti wnataka kufananisha vyeo vyao pamoja na vyeo vya jeshi...

Yani ni mkituko cha karne.... Labda huenda ni kituko cha Tanzania maana duniai kote hicho kitu hakipo
Na ndio maana kuna kipindi walichoka kuvaa visoda vyao wakataka wawe wanavaa vyeo kama vya kijeshi, wakapigwa stop kufananisha vyeo vyao na vyeo kijeshi.
 
Katibu mkuu pado atoshi wanatakiwa waende mabrigedia kama watano, major general, na makanal wapewe vitengo vya kiutawala na chuo cha mafunzo naamin polis watanufaka sana na upandaji wa vyeo na malupulupu yao awata dhulumiwa, mfano FFU wanaolinda bank , bank inalipia ela ya chakula na posho kila askar atakaye kuwa lindo lakin awapewi ata ela yakula.
Acha uongo mkuu, nina kaka yangu ni polisi akilinda Bank kila mwisho wa wiki anawekewa hela yake kweny account, nasikia wanapata kama laki moja hivi kila mmoja per wiki.
 
Umechanganyikiwa wewe sio bure, jeshi huwaga halijihusishi na majukumu ya kushughulika na raia, labda inapotokea mamlaka za kirai zinaposhindwa ndipo jeshi hufanya kazi kwa kusaidia mamlaka za kiraia.
Sasa unakataa nini na unakubali nini?
Ndio maana nikakwambia kila jeshi limepewa majukumu yake hawaingiliani.
Utofauti wa majukumu waliyopewa sio kigezo Cha kuwa jeshi fulani ni bora kuliko lingine.
Uwe unaelewa kiswahili,usitumie kichwa chako kufugia nywele.
 
Jeshi
Force
Army
Military
Haya maneno yana maana pana sana ila kila moja linatakiwa litumike sehemu sahihi. Mfano jeshini kuna Polisi jeshi anaitwa Military police je kama polisi ni jeshi wana Military police? Je wanaitwaje? Vichekesho kweli kweli [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
YAni mkuu nimeshuhudia leo vichekesho sana... Halafu kwa bahati mbaya Polisi wapo kama nyumbu... Yani yamejazana humu yanatetea wasichokijua
 
Inategemea kisa amefanyia wapi?
Kama ni ndani ya kambi atakamatwa kijeshi na wenzake,,kama ametenda uraiani akiwa na magwanda ya kijeshi, atavuliwa magwanda na kuwa raia wa kawaida ili sheria ifuate mkondo wake .
Kwaio akivuliwa magwanda si atakua uchi mkuu watamshika akiwa uchi sio????kuna vitu anatolewa kama mkanda vyeo na kofia kisha anakamatwa
 
Congo bado hakuna polisi wanaohudumu kule ila Darfur na Sudan kusini wapo.Pia naomba ufahamu kuwa deployment of solders or policemen depends on UN bajeti,mlinzi wa amani wa kipolisi huwa analipwa hela nyingi sana tofauti na wa jeshi, utaratibu wa kamataifa ni kwamba polisi hulipwa na UN wkt mwanajeshi hulipwa na nchi yake alikotokea na hulipwa kulingana na cheo.kwahiyo bajeti ikiwa powa hivi karibuni Polisi wataanza kupelekwa huko Congo.
Hapo tayari umeshachanganya madesa mzee.
Wakienda Polisi kwenye mission za UN hulipwa Polisi (as individual) lakini wakienda Wanajeshi huwa hawalipwi wao na UN bali nchi ndiyo hulipwa. Wanajeshi wao hulipwa na serikali kwa kufuata utaratibu uliopo.
 
Mzee baba usijilishe Upepo na kujitoa ufahamu... Lugha ya kiswahili inaupungufu mkubwa wa Misamiati... Hivyo neo JESHI kwa Convinience likabidi litumike pia kwa hivyo vyombo vingine vya Kiraia...

Nyie ni POLICE FORCE and NOT ARMY/ MILITARY.....
Police Force

Tanzania People Defence Force

Yote ni majeshi hayo
 
Na ndio maana kuna kipindi walichoka kuvaa visoda vyao wakataka wawe wanavaa vyeo kama vya kijeshi, wakapigwa stop kufananisha vyeo vyao na vyeo kijeshi.
Maelekezo ya kutovaa hivyo vyeo yalitoka juu, na hii kitu inawezekana tu Polisi kuvaa hivyo vyeo mfano S.Africa hata Sudani na huko nchi za kiarabu, polisi hutumia vyeo vya jeshi.
Luten badala ya inspector
Capt " Asp....n.k
 
Hapo tsyari umeshachanganya madesa mzee.
Wakienda Polisi kwenye mission za UN hulipwa Polisi (as individual) lakini wakienda Wanajeshi huwa hawalipwi wao na UN bali nchi ndiyo hulipwa. Wanajeshi wao hulipwa na serikali kwa kufuata utaratubu uliopo.
Nimehariri mkuu embu isome upya
 
Umetoa wapi hii kitu ili huu ubishani uishe ni lazima tuleteane sections kutoka kwenye ACT au Miongozo kutoka kwa majeshi mbalimbali
JWTZ ____polisi
Lt usu = assistance inspector
LT. = inspector
Captain =ASP
MEJA =SP
LT. COLONEL =SSP
COLONEL =ACP
BRIGEDIA GENERAL. =SACAP
MEJA GENERAL. =DCP
LT GENERAL =CP
GENERAL. =IGP

Note: wakikutana afisa wa jwtz na afisa wa polisi wanao lingana vyeo, afisa wa polisi atampigia saluti afisa wa jwtz kwa sababu JWTZ ndio jeshi SNR. But wakikutana mmoja anamzidi mwingine cheo, protoco za kijeshi lazima zifuatwe mdogo kumsalimia mkubwa.
 
Kama Polisi wanataka vyeo vya commisioner wapelekwe cadet school ili wavalishwe.
Maofisa wa Jeshi (JWTZ) wanasomea utawala na tactics za kivita. Utendaji kivita.
Polisi ni kitengo (idara) ya kizuia iharifu wa raia (criminology and fraud).
Jeshi linalinda nchi dhidi ya maadui wa nje na ndani ya nchi.
Hakuna ulinganifu wa vyeo vyao!!
 
Back
Top Bottom