Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,739
- 76,373
Na ndio maana jeshi lipo kwa kazi hizo ambazo haziwezi kufanywa na mamlaka za kiraia.Kozi za police na jw azifanani polisi awajui kutumia Silas nzito kama makombora, kutegua milipuko na nk
Na ndio maana jeshi lipo kwa kazi hizo ambazo haziwezi kufanywa na mamlaka za kiraia.Kozi za police na jw azifanani polisi awajui kutumia Silas nzito kama makombora, kutegua milipuko na nk
Hueleweki unatetea nini au unabishia nini hueleweki kabisa. Jeshi limeitwa jeshi kulingana na majukumu yake pamoja na uwezo mkubwa kwenye silaha dhidi ya maadui wa nchi.Na kwa taarifa yako vifaru mpka umalize recruit course Kwanza na si wanajeshi wote wanajua vifaru au mizinga jeshin Kuna vitengo tofauti
Mnapokuwa recruit mnafundishwa basic na ndio maana wakitoka wanagawanywa kwenda kwenye vikosi husika kisha wanaenda kozi za mizinga au vifaru na koz nyingne kulingna na kikosi
Ila polisi wote wanajua kupokea hela ya kubrashi viatu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Na si jwtz wote wanajua kutegua mabomu nadhani watu hawaelewi mambo Katika basic kila kitu huwa sawa utofauti unakuja baada ya kumaliza recruit tu
Hiyo ni Rwanda sio Tanzania. Hata India Polisi wanakwenda Cadet kama Jeshi Na ndio maana wanaheshimiana kwasababu wote wanajua walihenya kwenye kupata vyeo na sio vyeo vya kupewa bila kuvitafuta kwa jasho.Kamisheni, mkuu hii ni itifaki tu ya kimataifa, nchi kama Rwanda, Rais anatoa kamisheni kwa afisa wa polisi nyota moja. Kwahiyo unaona ushuhuda hapo.
Jukumu la kulinda amani ni jukumu la polisi ila kwa vile uwezo wao kwenye silaha ni mdogo, na kwa vile waasi mara nyingi hutumia silaha nzito ndipo jukumu hilo likarasimishwa kwa jeshi, kwa maana jeshi wao kwenye silaha wana uwezo kisilaha dhidi ya waasi. Polisi wao wamebaki kudeal na raia tu. Hata hapa nchini idadi ya polisi ni ndogo na hawatoshelezi je wakiambiwa waandae battalion nzima kwa ajili ya ulinzi wa amani! Hawatoweza. Ndio maana kwenye ulinzi wa amani polisi wanakuwepo hawazidi 10. Na pia ni kwa ajili ya majukumu ya mamlaka zao za kiraia.Uko kulinda amani majukumu yao yanafanana?
Sory kuna police wapo congo kulinda amani km jw?
Tuanzie apo
Kwenye battalion 1 wanakuwepo hawazidi 10.Uko kulinda amani majukumu yao yanafanana?
Sory kuna police wapo congo kulinda amani km jw?
Tuanzie apo
Katiba siyo msahafu. Katiba nayo ina mapungufu. Neno Jeshi haliwezekani kutumika kwenye Magereza wala Polisi.Wewe ndio jinga kabsa la mwisho maana hujui hata katiba ya nchi yako kwamba inayatambua kuwa kuna Jeshi la wananchi, Jeshi la Polisi na Jeshi la Magereza
Nini maana ya Jeshi?unajua shida ni kwamba,wapo watu fulani wajinga hili swala linawauma sana[emoji16][emoji16].sijui kanini?
us wana army,tz mbona hatutumii hili neno kama tunafanana majukumu?
katiba inasema wazi,kutakuwa na jeshi la ulinzi la wananchi wa tz,unaelewa maa yake?
kutakuwa na jeshi la polisi tz,unaelewa maana yake?
Uko sawa tatizo ni wengi wanashindwa kuelewa istilahi ya neno force, wakati jeshi iko rasmi ni armed forcesKatiba siyo msahafu. Katiba nayo ina mapungufu. Neno Jeshi haliwezekani kutumika kwenye Magereza wala Polisi.
Mimi nakufafanulia kitaalamu. Istilahi neno Jeshi kwa Tz linavyotumika na maana yake ni tofauti kabisa. Tz Polisi kwa kingereza linaitwa Tanzania Police Force.
Neno Force ndipo lilipowachanganya kwa lugha ya Kiswahili, wao wametafsiri kama Jeshi. Force kwa police ni Enforcement of the law.
Kwa maana wanawafanya watu wafuate sheria kwa wale wanaovunja sheria, ndiyo maana wana deal na raia. Ndiyo maana inapotokea ghasia Police huwa wana restore order ili kuleta amani na usalama ndani ya nchi.
Ukija kwenye TPDF imeandikwa kabisa ni armed forces in Tanzania. Wakati ukiangalia Tanzania Police force huwezi kukuta imeelezewa kama armed forces.
Kwa nini iwe hivyo? Jawabu ni kutokana na majukumu yao. Kwa hiyo Police siyo Jeshi! Police ni idara tu inayoshughulika na usalama wa raia na mali za raia.
Ukiwaambia walete maana ya neno Jeshi hata kwa kamusi ya Kiswahili watakimbia humu.Uko sawa tatizo ni wengi wanashindwa kuelewa istilahi ya neno force, wakati jeshi iko rasmi ni armed forces
Tuambie wewe uliyeelewa nini maana ya Jeshi? Lete kwa tafsiri sanifu.Umekariri
Na hawa watu wanatakiwa kuhenya kama IndiaHiyo ni Rwanda sio Tanzania. Hata India Polisi wanakwenda Cadet kama Jeshi Na ndio maana wanaheshimiana kwasababu wote wanajua walihenya kwenye kupata vyeo na sio vyeo vya kupewa bila kuvitafuta kwa jasho.
JeshiUkiwaambia walete maana ya neno Jeshi hata kwa kamusi ya Kiswahili watakimbia humu.
Magereza, polisi hawapew vyeo mezani wote wanakwenda henyea Katika vyuo vyao kuanzia cpl hadi 3 nyota huko juu mavyeo yao yanaendelea Kama kawa kupewa kwa mujibu wa sheria wa rais wa jamhur ya muungano wa TanzaniaHiyo ni Rwanda sio Tanzania. Hata India Polisi wanakwenda Cadet kama Jeshi Na ndio maana wanaheshimiana kwasababu wote wanajua walihenya kwenye kupata vyeo na sio vyeo vya kupewa bila kuvitafuta kwa jasho.
Hawawezi wameshazoea ubwanyenye! Mwaka 2007 walipelekwa pale SMI kwa ajili ya kozi ya uongozi, unaambiwa ndani ya wiki wote walikimbia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Na hawa watu wanatakiwa kuhenya kama India
Vitaje hivyo vyuo.Magereza, polisi hawapew vyeo mezani wote wanakwenda henyea Katika vyuo vyao kuanzia cpl hadi 3 nyota huko juu mavyeo yao yanaendelea Kama kawa kupewa kwa mujibu wa sheria wa rais wa jamhur ya muungano wa Tanzania
Tena acha uongo kabisa, sio kama siwapendi, vitaje hivyo vyuo vya polisi vinavyoendesha kozi ya uongozi mdogo (Jnr) na kozi ya uongozi mkubwa (Snr)Magereza, polisi hawapew vyeo mezani wote wanakwenda henyea Katika vyuo vyao kuanzia cpl hadi 3 nyota huko juu mavyeo yao yanaendelea Kama kawa kupewa kwa mujibu wa sheria wa rais wa jamhur ya muungano wa Tanzania
Tangu lini CCP wakaendesha kozi za Jnr na Snr? Ukiwa muongo utunze kumbukumbu!Kiwira mbeya kwa magereza
Ccp Moshi kwa polisi