RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Police acheni umbumbu na kujikweza.

Kwanza km wewe ni raia unafatilia huu uzi jua Kwamb majukumu ya police na tpdf hayalingani.
Police jukumu lake kulinda raia na Mali zao.
Majukumu ya jeshi ni kulinda mipaka ya nchi na kulinda raia na mali zao endapo police Watashindwa kutekeleza majukumu yao....

Ulinganifu wa vyeo..
Kwakua majukumu ya police na jeshi hayalingani, ivyo basi vyeo vyao navyo havilingani.
Kwa nchi za wenzetu police ni idara sio force ivyo ni rahisi kutofautisha vyeo na majukumu yao.

Hoja ya msingi..
Kijeshi private wa jeshi la wananchi anatakiwa amsarute police kuanzia kamishna officer.
Kwasababu kapewa kamisheni na raisi...

Ivyo basi luten usu wa jeshi ni sawa na kamishna wa police au magereza au uhamiji.
Swali kwa police km kijeshi vyeo vya police na jeshi vinalingana je askari police mwenye nyota moja anakamisheniwa na raisi?
Askari anapopiga salute apigii nyota apigia salute ile camisheni ivyo anapiga salute kwa niaba ya raisi alie mkamisheni.
Ndio maana cadet officers endipo raisi akiwa amesafiiri hata km wamemaliza mafunzo watamsubiri hadi harudi.


Hoja kuu
Vyeo vya kipolice vipo kiutawala
Vyeo vya kijeshi vipo kiutwala kivita.
Huyo RPC naposema yupo juu ya conel anajua kwamba conel anaongoza battalion in battle Field?

Kwa skills zake zafunzo anaweza kuongoza battalion?
Leo hii gazetted officers sijui inspector sijui meja uanze kuwafanisha na luten wa jeshi?
Tusingalie nyota.
Km yote ni majeshi tuwapime kiutendaji wao kivita sio vyeo vya mabegani, vyeo vinaweza kufanan ila kuna utofauti wa upatiknaji wake hata majukumu bila kusahau taasisi ni tofauti kabisa kiutendaji.
Kifupi huyo RPC karopoka.kijeshi yeye ni sawa na coplo.

Alafu kuna vyeo na madaraka, wale ma afisa wa jeshi waliopewa madaraka kwenye taasisi furani wakawa chini ya baadhi ya maafisa wa police aimaanishi kwamba wapo chini.
Yale ni madaraka nje ya majukumu ya jeshi

Police wapambane na magereza
 
Acha ujinga ww brigedia general ni cheo cha kawaida jeshini.....capten wa jeshi tu ni cheo kibubwa sana jeshini..
Kikubwa kwa nani?.Captain ni Cheo konachoongoza Company tu kwenye uwanja wa vita na ndivyo ilivyo kwenye Polisi na katika utendaji wa kawaida Nyota tatu anaongoza vituo vya Polisi vikubwa tu kama vile central .kwenye mafunzo huko majeshini Nyota tatu ndiyo anaongoza company na ndiyo ilivyo kwa majeshi yote wanaongoza company sasa unaposema captain ni mkubwa sana nauliza mkubwa sana kwa nani? Bila shaka mkubwa kwa Nyota mbili kushuka chini .bila shaka umeelewa kuwa captain ni mkubwa kwa MTU mwenye Nyota mbili kushuka chini .Halafu bunge linaakili sana likasema mwenye mamlaka ya kutawanya maandamo ni hakimu au askari polisi au askari wa jwtz mwenye nyota moja na kuendelea hapo bila kupepesa macho wamelinganisha vyeo sasa nyie watenda kazi kwanini mnatokwa na povu au neno commissioned officer linawachanganya kumbukeni hata hakimu na mawakili ni makamishina na kwa maana hiyo wapo mapolisi wanavyeo vya constable ni mawakili hivyo nao ni commissioned .Haaaaaaaaa kuwa makini sana usichanganye siasa na jeshi .Sasa wewe unataka kumfananisha High commissioner wa Tanzania aliyopo Marekani au Burundi na Luten Usu Ohh shit .Nendeni mkaangalie basi hata mshauri wa mgambo pale wilayani anacho cheo gani kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya "Mshauri wa Mgambo wa wilaya ya Shinyanga Meja Ford Mwakasege ".Haaaaaaa yaani yupo chini mkuu wa wilaya kitu ambacho mkuu Huyo wa wilaya hawezi kumpa amri ACP ambaye ni RPC mkoa wa Shenyanga wakati huo huo anampa amri Meja Ford Mwakasege wa Jwtz .Sasa bado mnabisha tu. Nyie askari ukiona ACP ni mtu anayeongoza mkoa na kuendelea .Ukiona ASP,SP, SSP ni mtu anayeongoza vikosi ndani ya wilaya mfano OCD ni SSP au SP hivyo hivyo kule jeshi la wananchi ni Captain,Meja na Luten Canal hao pia majukumu yao yapo ngazi ya Wilaya na vikosi au kambi .Sasa kwa Mtu kama Shana kusema vile yupo sahihi sana maanana anaongoza kikosi cha FFU ARUSHA,TRAFFIC ARUSHA,GENERAL DUTY ARUSHA, CID ARUSHA, CRT ARUSHA Pamoja na Shughuli zote za ulinzi na Usalama. Ikumbukwe mabomu mbagala,Gongo la mboto Aliyekuwa anasikilizwa na wananchi ni kamanda wa kanda Maalumu ila tukio limetokea ndani ya Kambi ya jeshi jwtz umewahi kujua alikuwa anatoa taarifa wapi wakati alikuwa ajafikia hata kamishina kamili wa polisi.Kumbuka tena kwenye kamati ya Ulinzi na usalama ya Taifa wanaongia ni CDF,IGP,kamishina General wa Magereza,MKurugenzi usalama wa,Taifa,Kamishina wa Uhamiaji,Kamishina wa zimamoto ,Mkurugenzi wa Takukuru pamoja na wale wote wenye vyeo kimoja kurudi nyuma wanaongoza idara za mambo ya ulinzi na usalama kama Upelelezi wa jinai DCI, .Kutokana na vyeo vya Polisi kamishina wa polisi CP ndiyo cheo kinachofuata hivyo anaingia kwenye kamati ya ulinzi Je unafikiri kamishina wa Polisi anafanana na Luten Usu au Luten Je Luten Usu anaingia kwenye hiyo kamati ya Ulisi na Usalama?.Fikiri kwa kina upanuke kimawazo. Maisha anayoishi Kamishina wa Polisi yanafanana na Luten?bila shaka gap ni kubwa kupindukia .Sasa nyie askari wazeni kiakili siyo kijingjinga na kitoto.Acheni ligi za kijinga .Mimi huwa naona na kusikia Mapolisi wakirushiana Risasi na majambazi na wakifanikiwa kuwapata unakuta majambazi yenyewe yalikuwa askari ya Jw sasa napata tabu kama hawa jw wanamafunzo makali kwanini wanakamatwa wanapoingia kwenye Uhalifu.Ooohh shit hole. Unakuta askari wa usalama barabarani 1 anaongoza magari kwenye mataa wanashuka askari wa JW Lori zima kwenda kumshambulia sasa kama hawa ni imara sana kwanini lorry zima kwa Traffic mmoja hapo huwa napata tabu sana. Kutokea sasa naanza kuamuni huko majeshi ni kina madhaifu makubwa sana kwenye silabasi zao maana hawafundishwi jambo lolote kuhusu majeshi mengine mwisho wa siku askari wanauwana na wengine kuishia jela. Mchana mwema.
 
Haaaaaaaaaaaa.Hoja Dhaifu sana .Nyie wote walinzi tu .kuanzia ACP hadi CP wote wamepewa walinzi na V8 ya kutendea kazi yaani sana na Luten canal na Bregedia general yaani anapewa V8 na ulinzi .kwa ufupi ndiyo wamepewa mikoa au kanda kuongoza sasa wewe askari jingajinga unafananisha kanyota kamoja luteni Usu ambaye anawekwa nyuma ya landrover bovu na anaishi nyumba utafikiri mahabusu ya Butimba .Neno commissioned Officer linawachanganya sana narudia tena kamishina wa polisi anaongoza Commission ila Luten anaongoza platoon tu ya watu 27. Rejea vitani kule kagera kama hao polisi hawaendi vitani au si wanajeshi hicho cha kifo cha ACP Hans Pope alikuwa anaongoza nini Kule vitani katika Vita ya kagera na Iddy Amin akatangaza wameua askari wa kukodiwa wa Kichina .Mfikiri kwa kina halafu muache mbwembwe nyie maaskari mbumbumbu .Watu wote nchini tunaongozwa na katiba na katiba imewalinganisha narudia tena acheni mbwembwe .majeshi yamewekwa na katiba .Hivyo vialama vya mabegani visiwatie uchizi maana ikitokea vita hadi Mgambo na Sungusungu wanashika bunduki.
Wewe ni mjinga na hujui ulisemalo. A foolat his best. Luteniusu ni commissioned officer, full stop. Huyo ni sawa na presidential appointment, sio hao wavaa visoda.

Afu mafunzo ya jw na polisi ni usiku na mchana, polisi wanajifunza kupambana na majambazi, jw wanajifunza vita. Huwezi kumchukua gazetted oficer akaongoza jw vitani. Hana mbinu hizo, hivyo acha kuota ndoto za alinacha.
 
Wewe ni mjinga na hujui ulisemalo. A foolat his best. Luteniusu ni commissioned officer, full stop. Huyo ni sawa na presidential appointment, sio hao wavaa visoda.

Afu mafunzo ya jw na polisi ni usiku na mchana, polisi wanajifunza kupambana na majambazi, jw wanajifunza vita. Huwezi kumchukua gazetted oficer akaongoza jw vitani. Hana mbinu hizo, hivyo acha kuota ndoto za alinacha.
Hata mkurungezi wa wilaya ni mteuliwa wa Rais acha ujinga.wewe?
 
Yuko sahihi Assistant Commissioner ni sawa na Canal kwa TPDF rank ya juu yake kwa TPDF ni Brigadea General na Senior Assistant Commissioner kwa wizara ya mambo ya ndani, sijui kuhusu salary scale over.
Sio canal ni Cornell mkuu
Nakujuza tuu
Mazoea yametufikisha apoo
Over
 
Wewe ni mjinga na hujui ulisemalo. A foolat his best. Luteniusu ni commissioned officer, full stop. Huyo ni sawa na presidential appointment, sio hao wavaa visoda.

Afu mafunzo ya jw na polisi ni usiku na mchana, polisi wanajifunza kupambana na majambazi, jw wanajifunza vita. Huwezi kumchukua gazetted oficer akaongoza jw vitani. Hana mbinu hizo, hivyo acha kuota ndoto za alinacha.
Hawaelew
 
Kikubwa kwa nani?.Captain ni Cheo konachoongoza Company tu kwenye uwanja wa vita na ndivyo ilivyo kwenye Polisi na katika utendaji wa kawaida Nyota tatu anaongoza vituo vya Polisi vikubwa tu kama vile central .kwenye mafunzo huko majeshini Nyota tatu ndiyo anaongoza company na ndiyo ilivyo kwa majeshi yote wanaongoza company sasa unaposema captain ni mkubwa sana nauliza mkubwa sana kwa nani? Bila shaka mkubwa kwa Nyota mbili kushuka chini .bila shaka umeelewa kuwa captain ni mkubwa kwa MTU mwenye Nyota mbili kushuka chini .Halafu bunge linaakili sana likasema mwenye mamlaka ya kutawanya maandamo ni hakimu au askari polisi au askari wa jwtz mwenye nyota moja na kuendelea hapo bila kupepesa macho wamelinganisha vyeo sasa nyie watenda kazi kwanini mnatokwa na povu au neno commissioned officer linawachanganya kumbukeni hata hakimu na mawakili ni makamishina na kwa maana hiyo wapo mapolisi wanavyeo vya constable ni mawakili hivyo nao ni commissioned .Haaaaaaaaa kuwa makini sana usichanganye siasa na jeshi .Sasa wewe unataka kumfananisha High commissioner wa Tanzania aliyopo Marekani au Burundi na Luten Usu Ohh shit .Nendeni mkaangalie basi hata mshauri wa mgambo pale wilayani anacho cheo gani kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya "Mshauri wa Mgambo wa wilaya ya Shinyanga Meja Ford Mwakasege ".Haaaaaaa yaani yupo chini mkuu wa wilaya kitu ambacho mkuu Huyo wa wilaya hawezi kumpa amri ACP ambaye ni RPC mkoa wa Shenyanga wakati huo huo anampa amri Meja Ford Mwakasege wa Jwtz .Sasa bado mnabisha tu. Nyie askari ukiona ACP ni mtu anayeongoza mkoa na kuendelea .Ukiona ASP,SP, SSP ni mtu anayeongoza vikosi ndani ya wilaya mfano OCD ni SSP au SP hivyo hivyo kule jeshi la wananchi ni Captain,Meja na Luten Canal hao pia majukumu yao yapo ngazi ya Wilaya na vikosi au kambi .Sasa kwa Mtu kama Shana kusema vile yupo sahihi sana maanana anaongoza kikosi cha FFU ARUSHA,TRAFFIC ARUSHA,GENERAL DUTY ARUSHA, CID ARUSHA, CRT ARUSHA Pamoja na Shughuli zote za ulinzi na Usalama. Ikumbukwe mabomu mbagala,Gongo la mboto Aliyekuwa anasikilizwa na wananchi ni kamanda wa kanda Maalumu ila tukio limetokea ndani ya Kambi ya jeshi jwtz umewahi kujua alikuwa anatoa taarifa wapi wakati alikuwa ajafikia hata kamishina kamili wa polisi.Kumbuka tena kwenye kamati ya Ulinzi na usalama ya Taifa wanaongia ni CDF,IGP,kamishina General wa Magereza,MKurugenzi usalama wa,Taifa,Kamishina wa Uhamiaji,Kamishina wa zimamoto ,Mkurugenzi wa Takukuru pamoja na wale wote wenye vyeo kimoja kurudi nyuma wanaongoza idara za mambo ya ulinzi na usalama kama Upelelezi wa jinai DCI, .Kutokana na vyeo vya Polisi kamishina wa polisi CP ndiyo cheo kinachofuata hivyo anaingia kwenye kamati ya ulinzi Je unafikiri kamishina wa Polisi anafanana na Luten Usu au Luten Je Luten Usu anaingia kwenye hiyo kamati ya Ulisi na Usalama?.Fikiri kwa kina upanuke kimawazo. Maisha anayoishi Kamishina wa Polisi yanafanana na Luten?bila shaka gap ni kubwa kupindukia .Sasa nyie askari wazeni kiakili siyo kijingjinga na kitoto.Acheni ligi za kijinga .Mimi huwa naona na kusikia Mapolisi wakirushiana Risasi na majambazi na wakifanikiwa kuwapata unakuta majambazi yenyewe yalikuwa askari ya Jw sasa napata tabu kama hawa jw wanamafunzo makali kwanini wanakamatwa wanapoingia kwenye Uhalifu.Ooohh shit hole. Unakuta askari wa usalama barabarani 1 anaongoza magari kwenye mataa wanashuka askari wa JW Lori zima kwenda kumshambulia sasa kama hawa ni imara sana kwanini lorry zima kwa Traffic mmoja hapo huwa napata tabu sana. Kutokea sasa naanza kuamuni huko majeshi ni kina madhaifu makubwa sana kwenye silabasi zao maana hawafundishwi jambo lolote kuhusu majeshi mengine mwisho wa siku askari wanauwana na wengine kuishia jela. Mchana mwema.
Wewe ni mbishi wa hedi
 
Kwani wewe polisi au mwanajeshi? Je umeelewa maana ya manajeshi?

KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO YA MWAKA 1977
SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI
Ibara ya
147.
(4) Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake
ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu
katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi
la Kujenga Taifa.


Sasa nyie mnaojiona bora huo ubora kawapa nani? Mbona Sheria mama inawalinganisha.
 
Kiitifaki ya kupigiwa saluti,Commisioned officer (CP) wa polisi ni sawa na commisioned officer (2lt wa nyota moja) wa Jwtz.

Chini ya Commisioned rank, vyeo hivyo huitwa other ranks.

Kwa hiyo kwa cheo chake cha ACP ukilinganisha na Jwtz ni cheo cha pili kurudi chini ya commisioned officer ambacho ni Warrant officer class2 na hata mishahara ukiichunguza inalingana.

Asijikweze, sababu hata vita vikizuka, akishikizwa jeshini, lazima atapewa mafunzo (refresher) wakufunzi wakiwa ni hao other ranks na atakasimiwa na kuvishwa vyeo vya other ranks na hilo halina ubishi ni kanuni.

Halafu tukija kwenye sheria za kijeshi (military defence act) hao civilian police ni idara za kiraia zinazofanya kazi zinazofanana na za kijeshi, wakiwemo magereza na zimamoto.
Hivyo Jwtz hawaruhusiwi kumkamata raia na kumuweka rumande za jeshi akiwemo yeye, kwa sababu anahesabika kuwa ni raia kwenye vitabu vya sheria za majeshi.
Raia wakakamavu kwa lugha ya kitaalamu
 
JWTZ ____polisi
Lt usu = assistance inspector
LT. = inspector
Captain =ASP
MEJA =SP
LT. COLONEL =SSP
COLONEL =ACP
BRIGEDIA GENERAL. =SACAP
MEJA GENERAL. =DCP
LT GENERAL =CP
GENERAL. =IGP

Note: wakikutana afisa wa jwtz na afisa wa polisi wanao lingana vyeo, afisa wa polisi atampigia saluti afisa wa jwtz kwa sababu JWTZ ndio jeshi SNR. But wakikutana mmoja anamzidi mwingine cheo, protoco za kijeshi lazima zifuatwe mdogo kumsalimia mkubwa.
Basi sawa.
 
Duu mkuu umepeleka mule mule sisi raia nia raia tu askari ni TPDF wengine wote si tupo sawa tu
Kiitifaki ya kupigiwa saluti,Commisioned officer (CP) wa polisi ni sawa na commisioned officer (2lt wa nyota moja) wa Jwtz.

Chini ya Commisioned rank, vyeo hivyo huitwa other ranks.

Kwa hiyo kwa cheo chake cha ACP ukilinganisha na Jwtz ni cheo cha pili kurudi chini ya commisioned officer ambacho ni Warrant officer class2 na hata mishahara ukiichunguza inalingana.

Asijikweze, sababu hata vita vikizuka, akishikizwa jeshini, lazima atapewa mafunzo (refresher) wakufunzi wakiwa ni hao other ranks na atakasimiwa na kuvishwa vyeo vya other ranks na hilo halina ubishi ni kanuni.

Halafu tukija kwenye sheria za kijeshi (military defence act) hao civilian police ni idara za kiraia zinazofanya kazi zinazofanana na za kijeshi, wakiwemo magereza na zimamoto.
Hivyo Jwtz hawaruhusiwi kumkamata raia na kumuweka rumande za jeshi akiwemo yeye, kwa sababu anahesabika kuwa ni raia kwenye vitabu vya sheria za majeshi.
 
Wewe ndiyo,Umeongea Point na ndiyo msingi wa jibu Upo hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Police acheni umbumbu na kujikweza.

Kwanza km wewe ni raia unafatilia huu uzi jua Kwamb majukumu ya police na tpdf hayalingani.
Police jukumu lake kulinda raia na Mali zao.
Majukumu ya jeshi ni kulinda mipaka ya nchi na kulinda raia na mali zao endapo police Watashindwa kutekeleza majukumu yao....

Ulinganifu wa vyeo..
Kwakua majukumu ya police na jeshi hayalingani, ivyo basi vyeo vyao navyo havilingani.
Kwa nchi za wenzetu police ni idara sio force ivyo ni rahisi kutofautisha vyeo na majukumu yao.

Hoja ya msingi..
Kijeshi private wa jeshi la wananchi anatakiwa amsarute police kuanzia kamishna officer.
Kwasababu kapewa kamisheni na raisi...

Ivyo basi luten usu wa jeshi ni sawa na kamishna wa police au magereza au uhamiji.
Swali kwa police km kijeshi vyeo vya police na jeshi vinalingana je askari police mwenye nyota moja anakamisheniwa na raisi?
Askari anapopiga salute apigii nyota apigia salute ile camisheni ivyo anapiga salute kwa niaba ya raisi alie mkamisheni.
Ndio maana cadet officers endipo raisi akiwa amesafiiri hata km wamemaliza mafunzo watamsubiri hadi harudi.


Hoja kuu
Vyeo vya kipolice vipo kiutawala
Vyeo vya kijeshi vipo kiutwala kivita.
Huyo RPC naposema yupo juu ya conel anajua kwamba conel anaongoza battalion in battle Field?

Kwa skills zake zafunzo anaweza kuongoza battalion?
Leo hii gazetted officers sijui inspector sijui meja uanze kuwafanisha na luten wa jeshi?
Tusingalie nyota.
Km yote ni majeshi tuwapime kiutendaji wao kivita sio vyeo vya mabegani, vyeo vinaweza kufanan ila kuna utofauti wa upatiknaji wake hata majukumu bila kusahau taasisi ni tofauti kabisa kiutendaji.
Kifupi huyo RPC karopoka.kijeshi yeye ni sawa na coplo.

Alafu kuna vyeo na madaraka, wale ma afisa wa jeshi waliopewa madaraka kwenye taasisi furani wakawa chini ya baadhi ya maafisa wa police aimaanishi kwamba wapo chini.
Yale ni madaraka nje ya majukumu ya jeshi

Police wapambane na magereza
 
Kuna kitu unashindwa kukielewa
Kikubwa kwa nani?.Captain ni Cheo konachoongoza Company tu kwenye uwanja wa vita na ndivyo ilivyo kwenye Polisi na katika utendaji wa kawaida Nyota tatu anaongoza vituo vya Polisi vikubwa tu kama vile central .kwenye mafunzo huko majeshini Nyota tatu ndiyo anaongoza company na ndiyo ilivyo kwa majeshi yote wanaongoza company sasa unaposema captain ni mkubwa sana nauliza mkubwa sana kwa nani? Bila shaka mkubwa kwa Nyota mbili kushuka chini .bila shaka umeelewa kuwa captain ni mkubwa kwa MTU mwenye Nyota mbili kushuka chini .Halafu bunge linaakili sana likasema mwenye mamlaka ya kutawanya maandamo ni hakimu au askari polisi au askari wa jwtz mwenye nyota moja na kuendelea hapo bila kupepesa macho wamelinganisha vyeo sasa nyie watenda kazi kwanini mnatokwa na povu au neno commissioned officer linawachanganya kumbukeni hata hakimu na mawakili ni makamishina na kwa maana hiyo wapo mapolisi wanavyeo vya constable ni mawakili hivyo nao ni commissioned .Haaaaaaaaa kuwa makini sana usichanganye siasa na jeshi .Sasa wewe unataka kumfananisha High commissioner wa Tanzania aliyopo Marekani au Burundi na Luten Usu Ohh shit .Nendeni mkaangalie basi hata mshauri wa mgambo pale wilayani anacho cheo gani kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya "Mshauri wa Mgambo wa wilaya ya Shinyanga Meja Ford Mwakasege ".Haaaaaaa yaani yupo chini mkuu wa wilaya kitu ambacho mkuu Huyo wa wilaya hawezi kumpa amri ACP ambaye ni RPC mkoa wa Shenyanga wakati huo huo anampa amri Meja Ford Mwakasege wa Jwtz .Sasa bado mnabisha tu. Nyie askari ukiona ACP ni mtu anayeongoza mkoa na kuendelea .Ukiona ASP,SP, SSP ni mtu anayeongoza vikosi ndani ya wilaya mfano OCD ni SSP au SP hivyo hivyo kule jeshi la wananchi ni Captain,Meja na Luten Canal hao pia majukumu yao yapo ngazi ya Wilaya na vikosi au kambi .Sasa kwa Mtu kama Shana kusema vile yupo sahihi sana maanana anaongoza kikosi cha FFU ARUSHA,TRAFFIC ARUSHA,GENERAL DUTY ARUSHA, CID ARUSHA, CRT ARUSHA Pamoja na Shughuli zote za ulinzi na Usalama. Ikumbukwe mabomu mbagala,Gongo la mboto Aliyekuwa anasikilizwa na wananchi ni kamanda wa kanda Maalumu ila tukio limetokea ndani ya Kambi ya jeshi jwtz umewahi kujua alikuwa anatoa taarifa wapi wakati alikuwa ajafikia hata kamishina kamili wa polisi.Kumbuka tena kwenye kamati ya Ulinzi na usalama ya Taifa wanaongia ni CDF,IGP,kamishina General wa Magereza,MKurugenzi usalama wa,Taifa,Kamishina wa Uhamiaji,Kamishina wa zimamoto ,Mkurugenzi wa Takukuru pamoja na wale wote wenye vyeo kimoja kurudi nyuma wanaongoza idara za mambo ya ulinzi na usalama kama Upelelezi wa jinai DCI, .Kutokana na vyeo vya Polisi kamishina wa polisi CP ndiyo cheo kinachofuata hivyo anaingia kwenye kamati ya ulinzi Je unafikiri kamishina wa Polisi anafanana na Luten Usu au Luten Je Luten Usu anaingia kwenye hiyo kamati ya Ulisi na Usalama?.Fikiri kwa kina upanuke kimawazo. Maisha anayoishi Kamishina wa Polisi yanafanana na Luten?bila shaka gap ni kubwa kupindukia .Sasa nyie askari wazeni kiakili siyo kijingjinga na kitoto.Acheni ligi za kijinga .Mimi huwa naona na kusikia Mapolisi wakirushiana Risasi na majambazi na wakifanikiwa kuwapata unakuta majambazi yenyewe yalikuwa askari ya Jw sasa napata tabu kama hawa jw wanamafunzo makali kwanini wanakamatwa wanapoingia kwenye Uhalifu.Ooohh shit hole. Unakuta askari wa usalama barabarani 1 anaongoza magari kwenye mataa wanashuka askari wa JW Lori zima kwenda kumshambulia sasa kama hawa ni imara sana kwanini lorry zima kwa Traffic mmoja hapo huwa napata tabu sana. Kutokea sasa naanza kuamuni huko majeshi ni kina madhaifu makubwa sana kwenye silabasi zao maana hawafundishwi jambo lolote kuhusu majeshi mengine mwisho wa siku askari wanauwana na wengine kuishia jela. Mchana mwema.
 
Back
Top Bottom