RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

Hawa nao watatuletea ya south Africa eti huyu ni mkubwa huyu mdogo! Sisi raia inatusaidia nini? Mashindano ya vyeo peleka vitani.Hivi kwa mfano marais wote wakikutana nani atakuwa mkubwa kwa cheo?nadhani kila mtu ni mkubwa kwenye eneo lake la kazi.sawa na X na Y kila moja ina nafasi yake.
 
Police wanatakiwa kunilinganishwa na Jeshi la zimamoto.
JWTZ ni habari nyingine. Ukitaka kuamini hawa jamaa sio wakulinganishwa angalia nchi inapoongozwa kijeshi (police+ zimamoto) huwa wanaambiwa Watulie nyumban. Hawa jamaa wana mfumo wao kamili wa serikali ktk sekta za Maji, Anga, Ardhi + Mahakama+ hospitali zao.
Chunguza mpaka MIKANDA wanayovaa inakua na Alama ya Bendera ya Taifa.
Umuhimu wa jeshi:
Wanajeshi wapo Teyari kupoteza Askari 30 Ili kuokoa Raia zaidi ya 30!! Ni kawaida ku risky maisha kwa ajili ya Raia ( KUFA au KUPONA) ili Raia wawe salama.
 
Police wanatakiwa kunilinganishwa na Jeshi la zimamoto.
JWTZ ni habari nyingine. Ukitaka kuamini hawa jamaa sio wakulinganishwa angalia nchi inapoongozwa kijeshi (police+ zimamoto) huwa wanaambiwa Watulie nyumban. Hawa jamaa wana mfumo wao kamili wa serikali ktk sekta za Maji, Anga, Ardhi + Mahakama+ hospitali zao.
Chunguza mpaka MIKANDA wanayovaa inakua na Alama ya Bendera ya Taifa.
Umuhimu wa jeshi:
Wanajeshi wapo Teyari kupoteza Askari 30 Ili kuokoa Raia zaidi ya 30!! Ni kawaida ku risky maisha kwa ajili ya Raia ( KUFA au KUPONA) ili Raia wawe salama.
aisee,wanavaa mikanda ya nini!![emoji23][emoji23][emoji23].

jeshi lina nguvu mpaka lipindue nchi,tofauti na hapo,ni taasisi tiifu kwa mamlaka iliyopo na vyombo vingine.
 
Kila Siku Mnaona Parade Ikulu
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Ndiye Pekee Amepewa Mamlaka Na Katiba Ya Tanzania Kumpa Commission Afisa Wa Jeshi Wa Nyota Moja

Unafikiri Utaratibu Wa Police Upo Hivyo, Tazama Uhamiaji Mtu Anapewa Cheo Amekaa Ofisini
Usilinganishe Mambo Usiyoyajua Aidha Kwa Kuwa Labda Kwa Maslahi
Kamisheni, mkuu hii ni itifaki tu ya kimataifa, nchi kama Rwanda, Rais anatoa kamisheni kwa afisa wa polisi nyota moja. Kwahiyo unaona ushuhuda hapo.
 
Police wanatakiwa kunilinganishwa na Jeshi la zimamoto.
JWTZ ni habari nyingine. Ukitaka kuamini hawa jamaa sio wakulinganishwa angalia nchi inapoongozwa kijeshi (police+ zimamoto) huwa wanaambiwa Watulie nyumban. Hawa jamaa wana mfumo wao kamili wa serikali ktk sekta za Maji, Anga, Ardhi + Mahakama+ hospitali zao.
Chunguza mpaka MIKANDA wanayovaa inakua na Alama ya Bendera ya Taifa.
Umuhimu wa jeshi:
Wanajeshi wapo Teyari kupoteza Askari 30 Ili kuokoa Raia zaidi ya 30!! Ni kawaida ku risky maisha kwa ajili ya Raia ( KUFA au KUPONA) ili Raia wawe salama.
Kwan mgambo hawez kurisky maisha yake????? Nesi hawez kuhatarisha maisha yake????? MADOKTA,walimu jeee????

Unapoongelea kuhusu kuhatarisha maisha Kuna makundi meng kutokana na mafas husika mwamba

Ni Mara ngapi police wan risky maisha yao kwa ajili ya wananchi na Mara ngapi wanakufa kwa ajili ya wananchi?????

Ni Mara ngapi manes wanapata magonjwa ya kuambukizwa kwa ajili ya kuokoa maisha ya wananchi???

Kabla ya kuongea kitu hebu kifikirie Kwanza Mara mbili Ni Aina gani ya risk unayo isema boy
 
Kwahiyo IGP huwa anampigia salute CDF. Acha nianze kukodolea
Kwan mgambo hawez kurisky maisha yake????? Nesi hawez kuhatarisha maisha yake????? MADOKTA,walimu jeee????

Unapoongelea kuhusu kuhatarisha maisha Kuna makundi meng kutokana na mafas husika mwamba

Ni Mara ngapi police wan risky maisha yao kwa ajili ya wananchi na Mara ngapi wanakufa kwa ajili ya wananchi?????

Ni Mara ngapi manes wanapata magonjwa ya kuambukizwa kwa ajili ya kuokoa maisha ya wananchi???

Kabla ya kuongea kitu hebu kifikirie Kwanza Mara mbili Ni Aina gani ya risk unayo isema boy
Wewe poti acha kupaniki.
Kwanza una cheo gani
 
aisee,wanavaa mikanda ya nini!![emoji23][emoji23][emoji23].

jeshi lina nguvu mpaka lipindue nchi,tofauti na hapo,ni taasisi tiifu kwa mamlaka iliyopo na vyombo vingine.
Sio kweli jeshi lina nguvu mpaka lipindue nchi.
Muda wote jeshi lipo standby!!
Fuatilia Uvamizi wa Majeshi ya Idd Amin Kagera au Operation Entebe ya Majeshi ya Israel Uganda.
Ukifuatilia Operation Entebe. Jeshi la Israel chini ya Jenerali Shomron anasema " walifikia Uamuzi wa Kuivamia Uganda na kuokoa Mateka 105 raia wa Israel, Ingawa Walijua katika operation hiyo watapoteza Askari kama 35 hivi!!!"
Ndo maana nimekueleza Wanajeshi huwa Wanaapa kulinda Wananchi wake hata kufa ili kuokoa Raia.
Kwa hiyo hutakiwi Kula "Wali + Maharage" ukaanza kudharau Jeshi lako!
 
Vyeo vya Polisi
1.Constable =Plain uniform (Hana nembo yyte)
2.Coplo =V 1
3.Sajent =V 2
4.Sajent staff =V 2+ ngao
5.inspector msaidizi =Nyota 1
5.Inspector =Nyota 2
6.Sajent Meja =Ngao 1
7.S.A.C.P (kamishina msaidizi mwandamizi)=Nyota 2+ngao 1+nembo ya Taifa.
8.A.C.P(kamishina msaidizi)=kamishina msaidizi =nyota 1+nembo ya Taifa
9.S.S.P(Mkaribu mwandamizi)=Nyota 1+ngao moja.
10.A.S.P(mkaribu msaidizi)=nyota 3.
11.S.P(mkaribu )=ngao+nembo ya Taifa
12.D.C.P(Naibu kamishina)=Mkasi + nyota
13.C.P(kamishina)=Mkasi na nembo ya Taifa
14.I.G.P=Mkasi +ngao +nembo ya Taifa

JWTZ
1.Private =Plain uniform
2.koplo mdogo =V1
3.koplo =v2
4.Sajent =V 3
5.Sajent mtumish=V 2+nembo ya Taifa
6.maafisa wateule II=nembo ya taifa
7.maafisa wateule I=alama ya taifa+ngao
8.Luten I= Nyota 1
9.Luten II= Nyota 2
10.captain =Nyota 3
11.Meja = alama ya Taifa
12.Luten canal = Nyota na alama ya Taifa
13.kanali =Nyota 2 na alama ya Taifa
14.Brigedia general =nyota tatu,ana nyota moja pamoja nembo ya taifa na mkasi!
16.Meja general = ana nyota mbili na nembo ya taifa pamoja na mkasi
17.Luten general =nyota tatu nembo na mkasi
18.General =mkasi+nyota 5 +nembo ya Taifa.
Hivi ni Mrakibu au Mkaribu na hapo kwenye nyota tano za mjeda na nyota tatu za inspector wa police sijaelewa kidogo
 
Wewe poti acha kupaniki.
Kwanza una cheo gani
Umekosea Sana s wa kariba hyo hata kidogo naongea kile nacho elewa Kuna Google mzee baba si kila anae ongelea siasa Ni mwanasiasa nikufundishe Hilo kwanza ndugu
 
Aaha hapo sawa...[emoji23][emoji23] sema Ufananishe jeshi na polisi kicheo tu lakini Kwenye shughuli JW ni habari nyingine
Levo gani mjomba hao jamaa ni wanawake tu, wapi ambapo polisi hawaendi!! Ulinzi wa amani wanaenda na kila kitu cha kiusalama polisi lazima ahusike
 
Levo gani mjomba hao jamaa ni wanawake tu, wapi ambapo polisi hawaendi!! Ulinzi wa amani wanaenda na kila kitu cha kiusalama polisi lazima ahusike
Uko kulinda amani majukumu yao yanafanana?
Sory kuna police wapo congo kulinda amani km jw?
Tuanzie apo
 
Sio kweli jeshi lina nguvu mpaka lipindue nchi.
Muda wote jeshi lipo standby!!
Fuatilia Uvamizi wa Majeshi ya Idd Amin Kagera au Operation Entebe ya Majeshi ya Israel Uganda.
Ukifuatilia Operation Entebe. Jeshi la Israel chini ya Jenerali Shomron anasema " walifikia Uamuzi wa Kuivamia Uganda na kuokoa Mateka 105 raia wa Israel, Ingawa Walijua katika operation hiyo watapoteza Askari kama 35 hivi!!!"
Ndo maana nimekueleza Wanajeshi huwa Wanaapa kulinda Wananchi wake hata kufa ili kuokoa Raia.
Kwa hiyo hutakiwi Kula "Wali + Maharage" ukaanza kudharau Jeshi lako!
rejea post niliyokunukuu,usibishane tu sababu umeshiba mkuu.

nimekuuliza wanavaa mikanda ya rangi ya nini[emoji16][emoji16],kama ulivyosema.umesema jeshi likichukua nchi polisi,na wengine wanaambiwa wakae nyumbani.nikakazia wakati huu ambapo halijashika nchi,linatii mamlaka iliyopo,halitajipambanua wazi wazi,na kuonyesha mabavu au ubabe wake kwa vyombo vingine vya serikali.

sasa basi kwa wakati huu ambao kila kitu kiko sawa,jeshi ni tiifu na halijiongozi na kujiamulia nini linataka,bali kile limeelekezwa na mkuu wa mamlaka anayefuata katiba na sheria zake.ndio maana tukisema mwaka huu hakuna kozi,ni hivyo wala hakuna kima yeyote anakoroma,ni amri halali hiyo.
 
rejea post niliyokunukuu,usibishane tu sababu umeshiba mkuu.

nimekuuliza wanavaa mikanda ya rangi ya nini[emoji16][emoji16],kama ulivyosema.umesema jeshi likichukua nchi polisi,na wengine wanaambiwa wakae nyumbani.nikakazia wakati huu ambapo halijashika nchi,linatii mamlaka iliyopo,halitajipambanua wazi wazi,na kuonyesha mabavu au ubabe wake kwa vyombo vingine vya serikali.

sasa basi kwa wakati huu ambao kila kitu kiko sawa,jeshi ni tiifu na halijiongozi na kujiamulia nini linataka,bali kile limeelekezwa na mkuu wa mamlaka anayefuata katiba na sheria zake.ndio maana tukisema mwaka huu hakuna kozi,ni hivyo wala hakuna kima yeyote anakoroma,ni amri halali hiyo.
imageedit_1_6750211533.jpg

When the government fail They will ask assistance from JWTZ. Usifananishe Jeshi na vitu vya kipuuzi
Consider:
1. Operation Loliondo
2. Operation Kibiti!!
 
Ndio maana nakwambia hzo ni protocal zimewekwa Kama ilivyo kwa aide d camp wa rais zaman alikuwa Ni polis ikaja badilika akawa mjeshi.kwahyo Ni mgawanyo tu wa mambo hayo ila heshima ya kijeshi iko pale pale.na pia hata polisi walikuwa wana vaa vyeo vya kijeshi ila ilileta sintofahamu mpka usalama wa taifa ikaingilia Kati na ishu kumalizwa na polis kuvaa vyeo walivyonavyo Sasa. Kwahyo mtu comminshed officer haimaanishi kuwa akiwa nyota moja asi msalute nyota mbili au tatu wa polisi.

Na ukisema kuapishwa na rais au kufunga mafunzo hata recruit huwa rais anafunga pia kwa majeshi yote

Utofauti unakuja kule jeshini wanasoma siasa Kama kawa ila polis hakuna siasa unapokuwa una cadet lazima ufundishwe siasa na ndio wanaweza kuapointiwa kuwa wakuu wa wilaya,au mkuu wa mkoa kwa coz wanasoma siasa na maswala ya uongozi pia huo ndio utofauti uliopo.

Kwa polis wao hufundishwa utawala ndani ya jeshi lao tu police administration na si vingnevyo

Katika hili Kuna meng ila muda Ni mchache mambo ni meng
Maliza maneno yote lakini mamlaka za kiraia (Constabulary) daima haziwezi kuwa jeshi.
Na polisi yeyote mwenye cheo chini ya kamishna hana tofauti na afisa kilimo, afisa afya, afisa mifugo wote wako sawa na wote ni gazzeted officer. Ni maafisa waliochapishwa kwenye gazeti la serikali, kijeshi hakuna afisa ambae ni gazzeted wote ni Commissioned officer
 
Back
Top Bottom