Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,183
- 28,881
Polisi , Magereza, Uhamiaji sio Majeshi hayo... hizo ni Idara za Kiraia ...Sio jeshi? wajifunze kiswahili
Kuna
Jeshi la Wananchi Tz
Jeshi la Polisi
Jeshi la Kujenga Taifa
Jeshi la Magereza
Polisi , Magereza, Uhamiaji sio Majeshi hayo... hizo ni Idara za Kiraia ...Sio jeshi? wajifunze kiswahili
Kuna
Jeshi la Wananchi Tz
Jeshi la Polisi
Jeshi la Kujenga Taifa
Jeshi la Magereza
unazidi kudhihirisha ujinga wako maana katiba katiba ndio imeainisha kisheria na ndio imefafanuaKatiba siyo msahafu. Katiba nayo ina mapungufu. Neno Jeshi haliwezekani kutumika kwenye Magereza wala Polisi.
Mimi nakufafanulia kitaalamu. Istilahi neno Jeshi kwa Tz linavyotumika na maana yake ni tofauti kabisa. Tz Polisi kwa kingereza linaitwa Tanzania Police Force.
Neno Force ndipo lilipowachanganya kwa lugha ya Kiswahili, wao wametafsiri kama Jeshi. Force kwa police ni Enforcement of the law.
Kwa maana wanawafanya watu wafuate sheria kwa wale wanaovunja sheria, ndiyo maana wana deal na raia. Ndiyo maana inapotokea ghasia Police huwa wana restore order ili kuleta amani na usalama ndani ya nchi.
Ukija kwenye TPDF imeandikwa kabisa ni armed forces in Tanzania. Wakati ukiangalia Tanzania Police force huwezi kukuta imeelezewa kama armed forces.
Kwa nini iwe hivyo? Jawabu ni kutokana na majukumu yao. Kwa hiyo Police siyo Jeshi! Police ni idara tu inayoshughulika na usalama wa raia na mali za raia.
Ukibisha, Tuambie maana ya Jeshi ni nini?
Huelewi kitu wewe, kabla ya hapo kulikuwa na CTU je unalijua hilo?Sasa wanakwenda kufanya Nini wewe mtoto wa kambini babaako vyeo analetewa hapo nyumbani
Wacha ujinga wako wewe... KAtiba inamapungufu mno.... Kwanza lugha ya Kiswahili haina misamiati ya kutosha... Ndio maana kwa convinience JESHI ikatumika pia kwa Polisiunazidi kudhihirisha ujinga wako maana katiba katiba ndio imeainisha kisheria na ndio imefafanua
sasa hiyo maana yako ya endelea kuiokoteza huko wikipedia
Mkuu haya yote yanatokana pia na uasikini wa Lugha aya Kiswahili katika misamiatiTafsiri ya Jeshi ni: Jumla ya watu wanaopewa mamlaka ya kutumia nguvu ya silaha kutetea nchi kwa niaba ya Dola dhidi ya maadui wa nje.
Niambie wewe ni wapi Duniani idara ya Polisi ikaitwa Jeshi?
Sio tu kuwa hawezi kuwa sawa na Coloneal bali hawezi kuwa sawa hata na Luteni USU wa JeshiIGP( inspector general of police), CDF( chief of defence forces). Siro ni mkuu wa police Tanzania na mabeyo ni mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ndani ya Tanzania. Kiprotocal ACP( assistant commissioner ) hawezi kuwa sawa na colonel
Usawa upi unaoongelea?Sio tu kuwa hawezi kuwa sawa na Coloneal bali hawezi kuwa sawa hata na Luteni USU wa Jeshi
hapa hapa utataka useme luteni usu wa urusi ni sawa na wa hapa tz[emoji23][emoji23][emoji23].Sio tu kuwa hawezi kuwa sawa na Coloneal bali hawezi kuwa sawa hata na Luteni USU wa Jeshi
Kweli kabisa.hapa hapa utataka useme luteni usu wa urusi ni sawa na wa hapa tz[emoji23][emoji23][emoji23].
wewe bruda una shida sana,bora uendee tu kule ukapambane na wasabato.
hili mbona liko wazi.Kweli kabisa.
Ka
Kweli kabisa.
Kama watu wanashindwa kutofautisha majukumu ya JWTZ na POLISI,wakitaka yafanane ndio tuweze kujua nani mkubwa,itafika sehemu watu wataanza kuhoji hata wanaopokea hizo kamisheni kati ya nchi na nchi.Kwa akili hizi simshangai hata yule aliyesema Koplo wa Jeshi la Marekani anajua mbinu nyingi za Medani za kivita kuliko majenerali wengi wa nchi za Kiafrika.
Kama imekukera kalambe ndimu utapikeToa upumbavu wako .... Unalinganisha cheo cha kijjeshi na Polisi...? una akili timamu wewe..
Shenzi kabisa
na mkuu wa wilaya ni mkubwa kuanzia cheo gani cha jwtz maana nayeye ni prez commissioned??Ebu nichangie kidogo.
JWTZ na PT kuna commisioned officer na non commssioned officer.
Kwanza tuelewe commissioned officer ni yupi na non commissioned officer ni yupi?
Commissioned officer ni yule anayevikwa vyeo na Amiri mkuu wa jeshi yaani Rais wa nchi kwa wakati huo mfano sasa ni Dr. John pombe Magufuli. Hawa commissioned officer ufanya kaz kwa niaba Rais popote walipo wanamuwakilisha Rais maana haendi vitani.
Non commissioned officer ni yule asiyevikwa na Amiri jeshi au Rais.
Sasa tuje kwenye vyeo;
Nitachambua haraka haraka kidogo
Ila nitachambua vyeo vya kuanzia kamisha. Kwa maelezo zaidi nmefungua kurasa kuhusu mambo ya vyeo.
JWTZ kamisheni uanzia luteni usu(nyota moja) cadet officer au afisa mwanafunzi. Hapa ndipo Rais utunuku vyeo kwa JWTZ.
Polisi tofauti kidogo uanzia Assistant commissioner of Pilice (ACP) yaan kamishna msaidizi wa polisi. Hapa ndo Rais uanzia kutunuku vyeo kwa polisi.
Hapo inamaanisha ACP wa polisi ni sawa na Luteni Usu nyote moja wa JWTZ. Kwahiyo hapo inamaana ACP wa polisi kicheo ni Mdogo kwa Captain wa JWTZ
Pia Tuelewe vyeo vya JWTZ ni vikubwa zaidi ya Polisi maana km ACP ndo utunukiwa vyeo au ndo uanza kuwa kamisha wakt JWTZ huyu ni sawa na Luteni usu ina maana gm 1000 za polisi ni sawa na Kg 1 Za jwtz it means kg 1000 za JWTZ ni sawa na GM mil moja za polisi. Lugha nyepesi twasema Hatua moja za JWTZ ni sawa na hatua 1000 za polisi.
NOTE: ni mdogo kicheo lakini kiutawala ni mkubwa, ACP kapewa mamlaka makubwa kushinda captain mf kamanda wa mkoa au wilaya..
Ni kweli kabisa hii nakubali kwa 100%Kweli kabisa.
Ka
Kweli kabisa.
Kama watu wanashindwa kutofautisha majukumu ya JWTZ na POLISI,wakitaka yafanane ndio tuweze kujua nani mkubwa,itafika sehemu watu wataanza kuhoji hata wanaopokea hizo kamisheni kati ya nchi na nchi.Kwa akili hizi simshangai hata yule aliyesema Koplo wa Jeshi la Marekani anajua mbinu nyingi za Medani za kivita kuliko majenerali wengi wa nchi za Kiafrika.
Kwani kuna lugha haina mapungufu?Wacha ujinga wako wewe... KAtiba inamapungufu mno.... Kwanza lugha ya Kiswahili haina misamiati ya kutosha... Ndio maana kwa convinience JESHI ikatumika pia kwa Polisi
Hii ndio sahihi kabisa wengine wameongea kishabiki.JWTZ ____polisi
Lt usu = assistance inspector
LT. = inspector
Captain =ASP
MEJA =SP
LT. COLONEL =SSP
COLONEL =ACP
BRIGEDIA GENERAL. =SACAP
MEJA GENERAL. =DCP
LT GENERAL =CP
GENERAL. =IGP
Note: wakikutana afisa wa jwtz na afisa wa polisi wanao lingana vyeo, afisa wa polisi atampigia saluti afisa wa jwtz kwa sababu JWTZ ndio jeshi SNR. But wakikutana mmoja anamzidi mwingine cheo, protoco za kijeshi lazima zifuatwe mdogo kumsalimia mkubwa.
kwa mujibu wako wewe au?Polisi , Magereza, Uhamiaji sio Majeshi hayo... hizo ni Idara za Kiraia ...