RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

Hawawezi wameshazoea ubwanyenye! Mwaka 2007 walipelekwa pale SMI kwa ajili ya kozi ya uongozi, unaambiwa ndani ya wiki wote walikimbia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Na nahisi msongo wa mawazo unawasumbua kwa vile polisi kwao ni ngumu sana kupanda vyeo, unakuta mtu ana miaka zaidi ya 20 kazini eti ndio anakuwa Koplo. Wakati jeshini ni kozi na elimu yako tu vinakubeba. Jwtz ndio jeshi haya mengine ni vyombo vya usalama wa raia.
Hata nembo rasmi ya polisi inajieleza
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1202075
Ni kwel mkuu polisi kupande cheo ningumu sana kuliko ngamia kupenya kwe tundu lasindano tofauti na Jwtz vijana wadogo utawaona wana nyota au V ambapo ukienda polisi nivingumu kumkuta kijana ana miaka27 ana nyota au ata V3 , ninge mshauli Rais awapeleke viongoz wa jwtz wakaibadilishe polis kwenye utaratibu wakupanda vyeo.
 
[emoji16][emoji16]

Kama unadhani sio cheo kikubwa subiri vita ije ndio utajua maana yake.Hivi unajua brigade ukubwa wake?.
Vita vya Kagera Musuguri,Walden,Mayunga,Kiwelu wote walikuwa mabregedier lakini walimchachafya Amini.Walipandishwa vyeo vita vikiwa vinaendelea

sasa vita ikija tutakumbuka hata brig ni nani mkuj[emoji16][emoji16]
 
Ni kwel mkuu polisi kupande cheo ningumu sana kuliko ngamia kupenya kwe tundu lasindano tofauti na Jwtz vijana wadogo utawaona wana nyota au V ambapo ukienda polisi nivingumu kumkuta kijana ana miaka27 ana nyota au ata V3 , ninge mshauli Rais awapeleke viongoz wa jwtz wakaibadilishe polis kwenye utaratibu wakupanda vyeo.
yupo katibu mkuu pale mwaka wa nne huu.
 
kwahiyo ishu ni siraha sio!!

unawajua alshabaab,unajua kuna vyuma wanavyo havijawahi kushikwa na askari yeyote yule chini ya ardhi ya tz[emoji16][emoji16].

je kwa kigezo hicho wanapaswa kuitwa jeshi zaidi ya jwtz?
Mwambie huyo amekariri.
 
A
Acha urongo mkuu,operesheni tokomeza iliongozwa na brigedier general wa jwtz,sirro akiwa sacp kipindi hicho alikuwa msaidizi wa operesheni
Na kwa Nini hakupewa Luteni kuongoza hiyo operation akapewa brigedier general?
Maana mnasema mwenye nyota moja au mbili Jwtz ni commissioner.
 
Nini maana ya Jeshi?

Hilo swali tuliwahi kuulizwa na Major mmoja wa jeshi popote ulipo Major Kiamalisi 321

Na wakati anauliza kulikiwa na wanajeshi wengi mm sio mwanajeshi nilikuwa miongoni mwa watu walioulizwa raia mwema

Major Kiamalisi alitoa majibu na akafafanua nini maana ya jeshi tokea hapo nikagundua kuwa kuna utofauti mkubwa kati JWTZ na polisi na magereza

Huwezi kufananisha polisi au magereza na JWTZ ni sawa kufananisha mti wa mbuyu na mti wa mchungwa ingawa yote ilianza kama mchicha
 
JWTZ ____polisi
Lt usu = assistance inspector
LT. = inspector
Captain =ASP
MEJA =SP
LT. COLONEL =SSP
COLONEL =ACP
BRIGEDIA GENERAL. =SACAP
MEJA GENERAL. =DCP
LT GENERAL =CP
GENERAL. =IGP

Note: wakikutana afisa wa jwtz na afisa wa polisi wanao lingana vyeo, afisa wa polisi atampigia saluti afisa wa jwtz kwa sababu JWTZ ndio jeshi SNR. But wakikutana mmoja anamzidi mwingine cheo, protoco za kijeshi lazima zifuatwe mdogo kumsalimia mkubwa.
Hapa umemaliza utata, japo kwenye salary scale ni tofauti.
 
yupo katibu mkuu pale mwaka wa nne huu.
Katibu mkuu pado atoshi wanatakiwa waende mabrigedia kama watano, major general, na makanal wapewe vitengo vya kiutawala na chuo cha mafunzo naamin polis watanufaka sana na upandaji wa vyeo na malupulupu yao awata dhulumiwa, mfano FFU wanaolinda bank , bank inalipia ela ya chakula na posho kila askar atakaye kuwa lindo lakin awapewi ata ela yakula.
 
Hapa hatuzungumzii hadhi tunazungumzia cheo. Kwanza mambosasa anamzidi cheo shana
 
Hilo swali tuliwahi kuulizwa na Major mmoja wa jeshi popote ulipo Major Kiamalisi 321

Na wakati anauliza kulikiwa na wanajeshi wengi mm sio mwanajeshi nilikuwa miongoni mwa watu walioulizwa raia mwema

Major Kiamalisi alitoa majibu na akafafanua nini maana ya jeshi tokea hapo nikagundua kuwa kuna utofauti mkubwa kati JWTZ na polisi na magereza

Huwezi kufananisha polisi au magereza na JWTZ ni sawa kufananisha mti wa mbuyu na mti wa mchungwa ingawa yote ilianza kama mchicha
Huyo Major aliongea kishabiki ili kuvutia mpira kwake.
Hawezi kukwambia definition halisi ya kisheria.
Ni sawa sawa umfuate mbunge umuulize nini maana ya mbunge na umuhimu wake?
Atatiririka sana ili umuone ana kazi kubwa sana na inaendana na pesa anazolipwa.
 
Katibu mkuu pado atoshi wanatakiwa waende mabrigedia kama watano, major general, na makanal wapewe vitengo vya kiutawala na chuo cha mafunzo naamin polis watanufaka sana na upandaji wa vyeo na malupulupu yao awata dhulumiwa, mfano FFU wanaolinda bank , bank inalipia ela ya chakula na posho kila askar atakaye kuwa lindo lakin awapewi ata ela yakula.
Kumbe wale polisi wanaolinda benki hakuna hela ya zaidi wanapewa nje ya mshahara?
 
Huyo Major aliongea kishabiki ili kuvutia mpira kwake.
Hawezi kukwambia definition halisi ya kisheria.
Ni sawa sawa umfuate mbunge umuulize nini maana ya mbunge na umuhimu wake?
Atatiririka sana ili umuone ana kazi kubwa sana na inaendana na pesa anazolipwa.

Hapana alitoa maelezo sahihi kweli kwakuwa wanajeshi wengi wanajisahau na sheria za jeshi
 
Katibu mkuu pado atoshi wanatakiwa waende mabrigedia kama watano, major general, na makanal wapewe vitengo vya kiutawala na chuo cha mafunzo naamin polis watanufaka sana na upandaji wa vyeo na malupulupu yao awata dhulumiwa, mfano FFU wanaolinda bank , bank inalipia ela ya chakula na posho kila askar atakaye kuwa lindo lakin awapewi ata ela yakula.
jwtz nalo lina binaadamu.hatuwezi kuwa tunawaza wawe malaika kila sehemu.

viongozi wa jeshi la polisi tunaweza wafananisha na nzi,hawatengenezi asali sababu ya mizaha na kutofocus mambo ya msingi,ni kuwa tu hawako serious ila uwezo wanao.

hata jwtz wenyewe huwa wanawashangaa.
 
Hilo swali tuliwahi kuulizwa na Major mmoja wa jeshi popote ulipo Major Kiamalisi 321

Na wakati anauliza kulikiwa na wanajeshi wengi mm sio mwanajeshi nilikuwa miongoni mwa watu walioulizwa raia mwema

Major Kiamalisi alitoa majibu na akafafanua nini maana ya jeshi tokea hapo nikagundua kuwa kuna utofauti mkubwa kati JWTZ na polisi na magereza

Huwezi kufananisha polisi au magereza na JWTZ ni sawa kufananisha mti wa mbuyu na mti wa mchungwa ingawa yote ilianza kama mchicha
major hata angeulizwa tofauti ya cheo cha major yeye na major mwingine,angesema cha kwake kakivaa muda sana na kina nembo inayowaka sio kama hao wengine.

kuna faida ya kujibu swali kiuhalisia ili kuondoa mkanganyiko baadhi ya maeneol.
wewe ulijua kuna tofauti kabisaa ya haya majeshi,but unajisikiaje ukiona major anamsalute ssp(ocd)[emoji2955][emoji2955].lazima uvurugwe.
 
Haaaaaahaaaaa tusome hata mitandaoni tu si lazima tubishane Sana hata mm nilio mbali na tz yenu naelewa hayo mambo ya majeshi yenu kwa kuyafuatilia shughuri zake

Unaposema polis na magereza hawaend koz yoyote ya uongozi utachekwa mzee baba hebu fuatilia kwanza ndio uandike kuishi karibu na mahakama si kujua Sheria.kuanzia cpl, Sgt,ssgt,rsm,nyota vyote huenda course kuanzia kiez mitatu had minne ya pili hupewa ya tatu huenda kozi kuanzia vyeo vya hapo juu wanapewa kwa mujibu wa sheria ya rais wa jamhuri ya muungano wa tz

Na kwa taarifa yako hyo 2007 hakuna polis Alie kimbia hata mmoja na hakuna alienda smi kilichokuwa kinafanyika Ni utaratibu kuwa majeshi yote kuanzia nyota wapige koz sehemu moja ila muafaka haukupatikana.

Na hata hao jwtz huwa wanakwenda pale ccp Moshi kupata mafunzo ya upolisi MP na wanajua shughuri yake ya kile chuo Nina jamaa zangu kibao wako Katika majeshi haya wanatoa data Kama kawa.na nchi mbali mbali hupeleka polis wao kupata mafunzo pale ccp na Ni chuo Bora kwa mafunzo.
Acha kuongopea umma, hakuna kozi wanayokwenda. Hakuna kozi ya jnr wala snr inayoendeshwa ccp wala chuo chochote cha polisi. Kwahiyo unataka kusema kozi ya mp inaendeshwa ccp? Usilolijua ni usiku wa giza pale wanakwenda kujifunza sheria tu tena sio mp wote, kwanza vyeo vyenyewe huvijui, rsm sio cheo. Kukaa karibu na mahakama si kujua sheria ila kusoma sheria ndio kujua sheria, niliwahi kufika chuo cha polisi kidatu morogoro na hata ccp pia nimefika na nimesoma pale.
 
major hata angeulizwa tofauti ya cheo cha major yeye na major mwingine,angesema cha kwake kakivaa muda sana na kina nembo inayowaka sio kama hao wengine.

kuna faida ya kujibu swali kiuhalisia ili kuondoa mkanganyiko baadhi ya maeneol.
wewe ulijua kuna tofauti kabisaa ya haya majeshi,but unajisikiaje ukiona major anamsalute ssp(ocd)[emoji2955][emoji2955].lazima uvurugwe.

Kwa uelewa wangu nikiona Major anapiga salute kwa SSP daah yaan itabidi nikimbie hilo eneo sitakiwi kukaa

Ukipata maelezo mazuri nini maana ya jeshi utagundua mwenyewe kuna tofauti kubwa tena sana kati ya JWTZ na polisi
 
JWTZ ____polisi
Lt usu = assistance inspector
LT. = inspector
Captain =ASP
MEJA =SP
LT. COLONEL =SSP
COLONEL =ACP
BRIGEDIA GENERAL. =SACAP
MEJA GENERAL. =DCP
LT GENERAL =CP
GENERAL. =IGP

Note: wakikutana afisa wa jwtz na afisa wa polisi wanao lingana vyeo, afisa wa polisi atampigia saluti afisa wa jwtz kwa sababu JWTZ ndio jeshi SNR. But wakikutana mmoja anamzidi mwingine cheo, protoco za kijeshi lazima zifuatwe mdogo kumsalimia mkubwa.
Toa upumbavu wako .... Unalinganisha cheo cha kijjeshi na Polisi...? una akili timamu wewe..

Shenzi kabisa
 
Kumbe wale polisi wanaolinda benki hakuna hela ya zaidi wanapewa nje ya mshahara?
Wenye mabenki wanalipia huduma ya ulinz wa polisi wakiwa lindoni kwenye banki pesa ilikuwa elf 25 kwa siku ni posho ya askar anayelinda benk anatakiwa alipwe sasa wakubwa ndo wanakula , askar anabakia kupelekwa na gari lindoni na kuludishwa kituon kwake kwaajir ya kikabidhi bunduki.
 
Back
Top Bottom