Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Psalms 116:15 "Precious in the sight of the LORD is the death of His saints."
Inamaana yeye mwenyewe ndo alikuwa anaendesha?
ni habari ya kusikitisha sana.poleni sana wanajf woote.
RIP Regia mtema.
Hii gari ni balaa,haifai kabisa kujifundishia hasa huku mkono mmoja unapost kwenye JF.Baadhi ya kampuni za bima wanakwepa kuziwekea bima kwa vile uwezekano wa ajali ni mkubwa.
Hata hivyo nasema InnaLILLAAH WA INNA ILAIHI RAAJIUUN.
Naona dady unaanza kuwa Tomaso...Pole na msiba.
Sikuwahi kumjua Regia binafsi, sikuwahi kukutana naye, na wala sikuwahi kuongea naye, lakini nilipenda uwezo wake wa kujenga hoja, nilipenda alivyokuwa na nia ya dhati kuwatetea wanyonge wa nchi hii, nilipenda mtizamo wake kwenye mambo ya taifa letu. She has gone too soon, but she lived her life well; A life well lived is a life to be treasured; we mourn your death since you have gone too soon, but we also celebrate your life Regia, we will remember you... May your soul rest in eternal peace Regia.
Kama hicho kitu kinahusu maslahi ya taifa unaweza kulitua hilo deni kwa kupeleka hizo data kamili kwa mmojawapo wa hawa; Lissu, Zitto, Lema, Mnyika, Mbowe au Dr. Slaa.... Be brave and do it now before its too late.Nalia nalia nalia...umeniachia deni kubwa sana!!!! Kuna kitu uliniuliza hapa ofisini ili nikupe data kamili bt nilikuwa nakuzungusha kila siku! Regia pumzika kwa amani!
she didnt live to see true independence,but regia,i tell you this,.come 2015 you will be smiling from heaven,we will make you proud,.in ash we came in ash we shall return,ashes to ashes dust to dust,i hope you hear us now in god we trust.
I am Heart Broken..... Words can not suffice of her Loss. "Rejia E. Mtema, May your Soul Rest in Eternal Peace"