Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,952
- 10,037
Huu ni msiba wa wote, Wana CDM, wana JF, watu wa kilombero na watanzania wote kwa ujumla. Siamini kama kuna mtu alikuwa na chuki na huyu dada. Hata humu tulikuwa tukipingana kwa hoja ni mtu wa watu. Mungu amuangazie pahala pema.
Regia alikuwa wetu sote.
Regia alikuwa wetu sote.