Regia Mtema is No More!

Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
Regina amegusa jamii zake karibia zote ikiwa ni pamoja na Familia yake, Kanisa lake, Kijiji chake, JF, CDM, Kilombero (jimbo lake), Bunge la JMT, Tanzania... Mimi pia amenigusa kama vile ni jamaa yngu wa karibu. Hii ni kutokana na maisha yake mafupi aliyoishi kwa kuipenda jamii yake na kuitumikia kwa bidii, nguvu na maarifa yake. Bwana alitowa na Bwana ametwaa, jina la Bwana na libarikiwe.

Onyo:
(1) Maisha yetu ni mafupi
(2) Kifo hakibishi hodi
(3) Kifo hakina wakati mwafaka kwa mtu

Hivyo tuishi kwa kutegemea ulinzi kutoka kwa Mungu na mapenzi yake siku zote. Sisi pia tunaweza kuishi kwa tahadhari kadiri ya vile tunavyoweza...
 
Mhe Regia alikuwa na dada ambae alimsaidia kazi zake ndogondogo,ambae walikuwa wote nae amefariki mida hii,yeye alihamishiwa Muhimbili,idadi ya watu waliopoteza maisha kwenye ajali imefikia wawili sasa.baada ya taarifa hiyo hapa nyumbani palipo na msiba watuwote walijawa na simanzi.

Aghrrr,hivi hizi hospitali zetu ni vipi?
RIP dada,...i hope somewhere mmekutana.

Dah,Mungu alimshinda ibilisi kwa kumficha kuhusu kifo.
 
...your wisdoms will ever remain. Upumzike kwa amani dadayetu!!
 
Hiyo barabara lazima iwe two way line from Dar es salaam to Dodoma itaepusha ajali nyingi kweli
 
Regina amegusa jamii zake karibia zote ikiwa ni pamoja na Familia yake, Kanisa lake, Kijiji chake, JF, CDM, Kilombero (jimbo lake), Bunge la JMT, Tanzania... Mimi pia amenigusa kama vile ni jamaa yngu wa karibu. Hii ni kutokana na maisha yake mafupi aliyoishi kwa kuipenda jamii yake na kuitumikia kwa bidii, nguvu na maarifa yake. Bwana alitowa na Bwana ametwaa, jina la Bwana na libarikiwe.

Onyo:
(1) Maisha yetu ni mafupi
(2) Kifo hakibishi hodi
(3) Kifo hakina wakati mwafaka kwa mtu

Hivyo tuishi kwa kutegemea ulinzi kutoka kwa Mungu na mapenzi yake siku zote. Sisi pia tunaweza kuishi kwa tahadhari kadiri ya vile tunavyoweza...

Maneno mazito sana mkuu,

R.I.P Regia, Sote tutarejea kwa Muumba wa Mbingu na Ardhi na vilivyomo Allah
 
.........................................................................................................................................................................................
speechless!!
 
Ni habari ya kusikitisha mno!! MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA..
 
Daaaa!! this is terrible terrible news kwa kifo cha ghafla cha mwanasiasa kijana kama Regia.Pole saaana familia yake na chadema pia.Da!!! ebu sasa ifike mahali kuanzia sasa viongozi wa chadema watafutieni madereva wabunge wenu please please...hata kama mtu anajua kuendesha gari.....apewe dereva....make it a strategy please, mtapoteza vijana wenu makini wote kwa mtindo huu....this terrible death reminds me of Chacha Wangwe too.....nae si alikufa kwa ajali kam hii pia.......wapeni wabunge wenu woote madereva haswa kwa safari hizi za mbali....wabunge wa chadema mna mambo mengi ya kufanya and things are stressful ...mnahitaji piece of mind saana hivyo ni muhimu kuwa na madereva wenu.......otherwise hizi ajali tz sasa ni tatizo kubwa kwa kweli.....mtu huwezii hata kuwa na uhakika wa kutoka point A na kufika point B kwa mtindo huu yaani..........its damn terrible yaani..........
 
Ni nyakati na matukio kama hili la kumpoteza kipenzi & kamanda Mtema ndipo lugha na maneno na yanapokosekana kueleza hisia zetu. OH GOD Have mercy on us!
 
Hapana mkuu alipo kuwa ana overtake alikosea timingn ghafla akaona gari mbele yake ikabidi ahame barabarani na kusababisha gari kupinduka

Taarifa za usalama barabarani zinasema alisha overtake, isipokuwa alikosa contorl kulirudiha ktk hali ya kawaida na kukosa mwerekeo na hatimaye lime roll mara tatu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom