Regia Mtema is No More!

Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
OMG.....no.
am only in one bad nightmare.
i will soon wake up and find another enthralling thread from this "political legend" in the making.

regia hajafa jamani!!! no!!
 
There are currently 879 users browsing this thread. (233 members and 646 guests)
wote tulimpenda regia
 
Wakuu nani aseme hali ilivyokuwa na ikibidi atuwekee gari jinsi ilivyopata ajali na mpaka sasa gari iko wapi na yeye kapelekwa wapi,mimi nimepokea sms kutoka Mwanza kwa mwanachama wa CDM ila nikaamua kufungua machine nichek ndo nakutana na hii hali,jamani Mungu huyu!
 
..Ni saa 13:48 naenda chumbani nilikoacha simu inachaji. Naangalia simu, naona kuna ujumbe kutoka 1556. Mara moja natambua kuwa ni Radio One Stereo Breaking News. Kufungua ujumbe, napata habari mbaya na ya kusikitisha na mpaka sasa nipo najilazimishakwa tabu kachozi kasiniporomoke. Regia, hukusubiri hata januari ipite? RIP.
 
R.I.P Regia Mtema. Tunawaombea majeruhi wote wapone haraka.
 
very sad extremely sad but may our good loving father and God give you eternal peace in his palace.you will always be remembered for all you did.
 
she didnt live to see true independence,but regia,i tell you this,.come 2015 you will be smiling from heaven,we will make you proud,.in ash we came in ash we shall return,ashes to ashes dust to dust,i hope you hear us now in god we trust.
 
Oh Mungu Wangu!!!
Umepataje ujasiri wa kupost habari hii. Kama ni kweli amekufa muda mzuri ninaamini amepokelewa kwa kazi nzuri aliyokuwa anaifanya ya kuwatetea wanyonge na kutoa taarifa ya kazi alizozifanya.

Kufiwa hakuna uzoefu!!
 
Ingawa kufa/kufiwa ni kitu cha kawaida, lakini kifo cha ghafla hustua watu wengi. Nawapa pole sana woote walioguswa kwa namna moja au ingine na msiba huu. Sisi sote ni waja wa MWENYEZI MUNGU na kwake tutarejea. Kazi ya MUNGU haina makosa.
 
0084.gif




ngumu kuamini , ngumu kusema ila wengi watakosa busara zako ..
Hapa jamvini
utakumbukwa milele. Mwenyenzi Mungu
ailaze roho yako mahali pema peponi.
Pigo kubwa kwa taifa letu.



Yote umenisemea afrodenzi, kwenye kijani nimesahihisha kwa nia njema kabisa.
 
Cna maelezo yakutosha kueleza, jinsi ninavyojisikia...dada Regia sasa ni mara ya pili unanisababishia maumivu ya roho, cku ya kwanza nipale uliponyimwa ushindi mchana kweupe na kupewa mgombea wa ccm,bwana Mteketa. Cku ya pili ndo leo...roho inaniuma cna maelezo RIP dada Regia.
 
Du! yaani ua zuri ndio lilianzachanua, kuna hoja aliianzisha hapa kama siku nne tu zilizopita...... ndio hatunae tena?
 
Wote tunaishi kwa muda tu katika mji huu usiodumu. Na wote tutakwenda kwenye mmji udumuo siku moja.
Kinachouma ni kutangulia, umetangulia Regia ilhali bado jamii inakuhtaji na familia pia.
Rest In Peace Regia
 
Duuuuuuuuuu! hii ni habari mbaya kwa jf yote. Tumuombee Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom