Regia Mtema is No More!

Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani.

Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa CHADEMA huko Kibaha.

Habari hizi zimethibitishwa.

Maneno ya Regia ya kufunga mwaka 2011 (Disemba 31, 2011)


RIP Regia.
 
I believe hapo ni kituo cha polisi sio ajari iliyosababishwa na gari tatu kugusana. RIP Regia, we will miss you!!
 
Poleni wanaJF wenzangu kwa msiba huu mzito. R.I.P dada Regia
 
gari yake imeg0ngana na lori,alipokua akijaribu kulipita lori lingne alilokua akiongozana nalo

Hapana mkuu alipo kuwa ana overtake alikosea timingn ghafla akaona gari mbele yake ikabidi ahame barabarani na kusababisha gari kupinduka
 
Ni kweli tulikupenda, tunakupenda na tutaendelea kukukumbuka dada yetu mpenzi, umetutoka kwenye kipindi tulichokuhitaji zaidi... ama kweli hili ni pigo.... hii ilikuw ni nyota ya alfajiri ambayo ndo kwanza ilianza kung'ara na sasa imezima ghafka kwa upepo wa ajali... kwakweli nimeghafilika mno na im in hot pain, bt I wont blaim any one 2this instead I praise the name of the All-Mighty GOD.. 4 HE MUST HAVE A REASON 4THIS... R, I. P Regia...
 
rest in peace dada regia msiba wako unanihusu sana mimi na familia yangu na watz kwa ujumla
 
Hapana mkuu alipo kuwa ana overtake alikosea timingn ghafla akaona gari mbele yake ikabidi ahame barabarani na kusababisha gari kupinduka
alipokuwa anaovertake,aliyekuwa mbele hakumuonyesha mbele kuna gari?Inasikitisha sana,
 
Mhe Regia alikuwa na dada ambae alimsaidia kazi zake ndogondogo,ambae walikuwa wote nae amefariki mida hii,yeye alihamishiwa Muhimbili,idadi ya watu waliopoteza maisha kwenye ajali imefikia wawili sasa.baada ya taarifa hiyo hapa nyumbani palipo na msiba watuwote walijawa na simanzi.
 
Kweli binadamu Duniani tunapita, kama mtu saa 5 kamili tulikuwa nae na 5 na robo hatupo nae Mungu amoe pumziko la milele
 
:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:RIP REGIA MTEMA NIMEBAKIA MDOMO WAZI
 
Mhe Regia alikuwa na dada ambae alimsaidia kazi zake ndogondogo,ambae walikuwa wote nae amefariki mida hii,yeye alihamishiwa Muhimbili,idadi ya watu waliopoteza maisha kwenye ajali imefikia wawili sasa.baada ya taarifa hiyo hapa nyumbani palipo na msiba watuwote walijawa na simanzi.
Sad news,maneno hadi yanakosekana
 
Mkuu hapo penye kuhusu ajali, ni kweli hizi barabara zetu unahitaji uangalifu wa hali ya juu especially on long trips, na madereva wa big tucks, mabasi na semi trailers...

Nimeendesha hizo bara bara na unatakiwa kuwa makini all the time...Huo ni upande mmoja.

Upande wa pili, ni kwamba sintoweza kusema mengi kwasababu bado tuko msibani, lakini otherwise ningekuwa na maswali mawili matatu ie je hilo gari lilikuwa well equiped for a person with disability to personally drive? Tatizo hilo linaweza kuwa kubwa zaidi kama ni a long trip.

Pili uamuzi wa kuendesha mwenyewe ulikwa mzuri? Je angekodi dereva kama wa kwake alikuwa na matatizo?

So unaweza kuona kuwa inaweza kuwa a combination of factors, tegemea na aina ya ajali, lakini mojawapo ya factors ni barabara na madereva wengine waendesha hovyo, pia sometimes maamuzi yetu sisi wenyewe.

Mkuu hayo maswali mimi mwenyewe nimejiuliza nimekosa majibu, mpaka hadi najiuliza kwa nini aliamua kuendesha mwenyewe, kweli kifo sometimes huwa kinatuita sisi wanadamu.
 
RIP REGIA. uendeshaji wetu utaimaliza taifa, mpaka lini au mpaka afe nani tena ndio tujirukebishe?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom