
DAARUL MUSTAFA









TAFADHALI SOMA UJUMBE HUU NI MUHIMU SANA KWAKO
*IBADA MUHIMU ZA KUZIDISHA KTK MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN*
*BISMILLAHI RAHMAN RAHYM*
A.ALYKUM.
ALHAMDULILLAAH
WA S.A.W.
Ndg zng tumshukuru Sana ALLAH S.W. kwa kutufikisha salama ktk Ramadhan.
Hakika ktk mafundisho ya Uislaam tumesisitizwa sana kuzidisha ibada MBALIMBALI ili kupata rehma na barka zilizopo ktk RAMADHAN.
miongoni mwa ibada hizo ni kufanya sana DHIKRI na kuomba dua kwa wingi.
Hakika MWEZI MTUKUFU wa RAMADHAN umegawanyika ktk makumi matatu..
Kumi la kwanza ni kumi la *REHMA*
KUMI LA pili ni kumi la *MSAMAHA*
kumi la tatu ni kumi la kuokolewa ktk moto wa *JAHANNAM*
*NYIRADI ZA KUZIDISHA KTK KUMI LA KWANZA*
Kwa kua kumi la mwanzo ni kumi la*REHEMA* basi Imependekezwa sana ktk kumi hilo kujitahidi sana kusoma uradi
*(YAA ARHAMAR RAHIMINA)*
*IDADI YA URADI*
Idadi ya uradi huo ni Mara 1000 kila siku.
*NIYA YA URADI*
Utatia Niya ya uradi huo kabla ya kuanza kufanya uradi huo... utasema hv BISMILLAHI RAHMANI RAHIM . ALLAHUMMA SWALLI WA SALLIM WA BAARIK ALAA SAYYIDNAA MUHAMMAD WA ALAA AALIHI WA SALLIM.
*EWE ALLAH ULIE TUKUKA HAKIKA NIMETIA NIA YA KUSOMA URADI HUU ILI NIPATE RADHI ZAKO NA UNIJAZE REHEMA ZILIOZOPO KTK KUMI HILI LA MWANZO KTK RAMADHAN. NAKUOMBA UNIKUBALIE IBADA YANGU HII KWAKO.*
Baada ya hapo utaanza kusoma uradi mpaka utakapo maliza idadi kamili..
Ukimaliza uradi utanyanyua mikono yako kisha utaomba duaa ya shida zako mbalimbali
Usiwache kumsalia mtume S.a.w. kila baada ya maombi yako ni muhimu sana.
Ukimaliza kumi la mwanzo utakua umefanya uradi huo mara 10,000.
*MUDA WA KUSOMA URADI HUO*
Inaruhusiwa kusoma uradi ktk muda wowote utakaopanga mwenyewe lkn muda utakaochagua utautumia muda huo huo mpaka masiku 10 yaishe..
Lkn muda mzuri wa kuvuta uradi huo ni lisaa limoja kabla ya kutoka adhana ya maghribi.. Kwani muda huo ni muda mzuri unaokubaliwa duaa nyingi ktk RAMADHAN.
UKIJITAHIDI kufata utaratibu huu mpaka ukamaliza kumi LA mwanzo basi Insha ALLAH UTAPATA REHEMA Zilizomo ktk kumi hilo la mwanzo..
*NYIRADI YA KUSOMA KTK KUMI LA PILI KTK RAMADHAN*
kumi la pili ni kumi la KUSAMEHEWA MADHAMBI YOTE YALIOPITA.
Ktk kumi la pili utasoma *ASTAGHFIRULLAAH LA'ADHIM WA ATUUBU ILAIHI* mara 1000 kila siku.
Utatumia Utaratibu kama ulivotumia utaratibu wa mwanzo isipokua ktk NIYA.
*NIYA YAKE NI KAMA IFATAVYO*......
*EWE ALLAH ULIE TUKUKA HAKIKA NIMETIA NIA YA KUSOMA URADI HUU ILI NIPATE RADHI ZAKO NA UNISAMEHE MADHAMBI YANGU YOTE NILIOFANYA KWA MAKUSUDI AU KWA BAHATI MBAYA NAOMBA UNIPE RADHI ZAKO NA MSAMAHA WAKO ULIOPO KTK KUMI HILI LA PILI KTK RAMADHAN. NAKUOMBA UNIKUBALIE IBADA YANGU HII KWAKO.*
kisha utavuta uradi huo na utamalizia kwa kuomba duaa zako MBALIMBALI.
Ukimaliza uradi huo ktk kumi la pili utakua umeomba msamaha kwa ALLAH mara elfu kumi.
Inshaa Allah ALLAH atatukubalia TOBA ZETU kwa baraka za kumi la pili KTK RAMADHAN.
*URADI KTK KUMI LA TATU*
Kumi la tatu ni kumi la Kuepushwa na moto wa JAHANNAM.
utafata taratibu zilzotangulia kisha utatia niya hii.
*EWE ALLAH ULIE TUKUKA HAKIKA NIMETIA NIA YA KUSOMA URADI HUU ILI NIPATE RADHI ZAKO NA UNIUPUSHE NA ADHABU ZA DUNIANI NA ADHABU ZA JAHANNAMU NAKUOMBA UNIKUBALIE IBADA YANGU HII KWAKO.*
Kisha utasoma URADI HUU

*ALLAHUMMA AJIRNAA MINA NNAARI SAALIMINA* mara 1000 kila siku.
Kisha utaomba duaa zako za matatizo MBALIMBALI.
Ukimaliza uradi huo ktk kumi la mwisho utakua umeomba uepushiwe shida za duniani na adhabu za AKHERA mara elfu kumi.
Jumla ya uradi zote utakua umesoma uradi mara elfu THAELATHINI ktk RAMADHAN yote.
*MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KTK NYIRADI HIZO NI*
1. Hakikisha unao UDHUU KTK URADI.
2.HAKIKISHA unaelekea KIBLA ktk uradi.
3.usikatishe uradi kwa ajili ya mazungumzo isipokua kwa dharura.
4.chagua sehemu moja maalum ya kufanya nyiradi zako zote mpaka RAMADHAN itakapoisha. Labda itokee dharura kama KAZI,SAFARI,N.K.
5.HAKIKISHA UNAMSALIA MTUME S.A.W KILA UNAPOMALIZA NYIRADI NA DUAA ZAKO
*MWISHO*
Musinisahau kuniombea msamaha ktk duaa zenu.