dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,019
- 5,435
Hakika katika swala jepesi kabisa ni swala tano, kwasababu ni kitendo ambacho hakichukui zaidi ya dakika 10, lakini swaumu ni ngumu sana , kutokana na kushinda njaa masaa zaidi ya 13, na ni nguzo ya nne katika nguzo za uislam , lakini waislam wanaiheshimu kuliko hata swala, Allah awajalie wale wote ambao hawaswali swala 5 waweze kuswali daima.
Nawatakia ramadhani Mubarak waislam wote.
Nawatakia ramadhani Mubarak waislam wote.