*﴿ ﺑِﺴْﻢِ ﺍﻟﻠﻪِ ﺍﻟﺮَّﺣْﻤﻦِ ﺍﻟﺮَّﺣِﻴﻢِ ﴾*
_*MIONGONI MWA NASAHA MUHIMU KABLA YA RAMADHANI*







*♡ ﻓﻲ ﺭﻣﻀــــﺎﻥ:*
*Katika Ramadhani:*
*♡ ﻧﺤﻦ ﻣﻘﺒﻠﻮﻥ ﻋﻠﻰ ﺷﻬﺮ ﻋﻈﻴﻢ ﺃﻻ ﻭﻫﻮ ﺷﻬﺮ ﺭﻣﻀﺎﻥ.*
_Sisi umetukaribia mwezi wenye ubora. Enyi fahamuni nao ni mwezi wa ramadhan._
*♡ ﻭﻣﺎ ﺃﺩﺭﻙ ﻣﺎ ﺷﻬﺮ ﺭﻣﻀﺎﻥ ...؟*
_Kipi cha kukujuza ni nini mwezi wa ramadhani?_
*♡ ﺷﻬﺮ ﺍﻟﺒﺮ واﻹحسان.*
_Nimwezi wa kufanyiana wema na ihsani._
*Allah ﷻ Anasema:*
{لَنْ تَنَالُوا الْبِرَّ حَتَّىٰ تُنْفِقُوا مِمَّا تُحِبُّونَ ۚ وَمَا تُنْفِقُوا مِنْ شَيْءٍ فَإِنَّ اللَّهَ بِهِ عَلِيمٌ}
```KABISA HAMTAFIKIA wema mpaka mtoe katika vile mnavyo vipenda. Na kitu chochote mnacho kitoa basi hakika Mwenyezi Mungu anakijua.``` (3:92)
*♡ ﺷﻬﺮ ﺭﻣﻀﺎﻥ ﺷﻬﺮ ﺍﻟﺘﺴﺎﻣﺢ..*
_Mwezi wa ramadhan ni mwezi wa kusameheana (kwa waliyo kosana)_
*♡ ينبغى على المسلم أن ﻳﺘﺤﻠّﻰ ﺑﺎﻷﺧﻼﻕ الكريمة.*
_Yatakikana kwa muisilamu ajipambe na tabia nzuri._
*♡ ﻭﻳﻌﺎﻣﻞ ﺍﻟﻨﺎﺱ ﻣﻌﺎﻣﻠﺔ ﺣﺴﻨﺔ، ﻭﺇﺫﺍ ﺃﺧﻄﺄ ﺍﻟﻤﺴﻠﻢ ﻓﻲ ﺣﻖ ﺃﺧﻴﻪ ﻧﺪﻡ ﻋﻠﻰ ﺫﻟﻚ ﻭﺳﺎﺭﻉ ﺑﺎﻻﻋﺘﺬﺍﺭ ﺇﻟﻴﻪ.*
_Na awafanyiye watu muamala ulo mzuri kabisa, Na pindi akoseapo katika haqqi ya nduguye ajute juu ya hilo na akimbiliye kumtaka udhuru na (msamaha)_
*♡ ﻻ ﺗﻨﺴﻰ ﺍﻟﻔﻘﺮﺍﺀ واليتامى والمساكين واﻷرامل فى رمضان.*
_Usiwasahau mafuqara, mayatima, masikini, wajane (kuwasaidia) zaidi katika mwezi wa ramadhani._
*Allah ﷻ Anasema:*
*{إِنْ تُبْدُوا الصَّدَقَاتِ فَنِعِمَّا هِيَ ۖ وَإِنْ تُخْفُوهَا وَتُؤْتُوهَا الْفُقَرَاءَ فَهُوَ خَيْرٌ لَكُمْ ۚ وَيُكَفِّرُ عَنْكُمْ مِنْ سَيِّئَاتِكُمْ ۗ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ خَبِيرٌ}*
```Mkizidhihirisha sadaka ni vizuri; na mkizificha mkawapa mafakiri kwa siri basi hivyo ni kheri kwenu, na yatakuondoleeni baadhi ya maovu yenu. Na Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayo yatenda.``` (2:272)
*♡ ﺍﺣﺬﺭ ﻣﻦ ﺍﻹﺳﺮﺍﻑ ﻓﻲ ﺍﻟﻤﺎﻝ والطعام ﻭﻏﻴﺮهما، ﻓﺎﻹﺳﺮﺍﻑ ﻣﺤﺮﻡ.*
_Tahadhari kufanya israfu katika mali na chakula pia vitu vinginevyo, kwani israfu imeharamishwa._
*Allah ﷻ Anasema:*
*{وَكُلُوا وَاشْرَبُوا وَلَا تُسْرِفُوا ۚ إِنَّهُ لَا يُحِبُّ الْمُسْرِفِين..}*
```Na kuleni, na kunyweni na wala msifanye ubadhirifu. Kwa hakika Yeye(Allah) hapendi wanao fanya israfu.```
(Al aarafu 31)







*WEKA MKAKATI WA KUFANYA KILA YALO MAZURI UFIKAPO MWEZI WENYE KHERI NA FADHILA NYINGI.

Itaqillaha Ayuhal Ghafil
