aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 1,047
- 1,670
tunaanza kufunga lini?
Inshaallah panapo maajaliwa tareh 1 mwezi wa tatutunaanza kufunga lini?
AamiynNamuomba Allah atufikishe Ramadhaan na atuafikishe kufunga na kutenda kheri, Allahumma Aamiin.
Tarehe 1 au 2 mwezi wa tatu In Shaa Allaah kama sijakosea.Mambo ya kufuturu futari. Mnaanza lini kufunga wakuu
Mwezi wa 3 mwanzoni.Mambo ya kufuturu futari. Mnaanza lini kufunga wakuu
Ameen thumma ameeninshaalah mwenyezmungu atuwezeshe kufika katika mwezi mtukufu wa ramadhan ma atiwezeshe tuufunge woote bila matatizo
Hii kweli! Zamani wslikua wanakula nje kwenye mkeka ukipita unaitwa au wanapitisha nyumba hadi nyumba.Mmekua wachoyo mno siku hizi..zamani daah tulifaidi aiseee....uji..mara chapati kdg tambi...
Yani siku hzi mnajifungia manyumbani kwenu sio tena vibarazani...
Aaaaaghhhh
Sijui wamekuwaje siku hz..Hii kweli! Zamani wslikua wanakula nje kwenye mkeka ukipita unaitwa au wanapitisha nyumba hadi nyumba.
njoo kwetu huo utaratibu bado upo na wifi yako kaondoka fika bila kukosaMmekua wachoyo mno siku hizi..zamani daah tulifaidi aiseee....uji..mara chapati kdg tambi...
Yani siku hzi mnajifungia manyumbani kwenu sio tena vibarazani...
Aaaaaghhhh
Kwetu Tanga huo utaratibu Bado upo!Mmekua wachoyo mno siku hizi..zamani daah tulifaidi aiseee....uji..mara chapati kdg tambi...
Yani siku hzi mnajifungia manyumbani kwenu sio tena vibarazani...
Aaaaaghhhh
Ukute hayo majumba hata watu hawamo tena. Na kama wamo basi sio wale wale mnaowajua nyie hao mnaowaita wa 'zamani'Mmekua wachoyo mno siku hizi..zamani daah tulifaidi aiseee....uji..mara chapati kdg tambi...
Yani siku hzi mnajifungia manyumbani kwenu sio tena vibarazani...
Aaaaaghhhh