Ramadhan Special Thread
Mpango wa kuzuia hautakuwepo Kwa sababu wauaji ni polisi.mpango wa kuumaliza huu utekaji utaanza pale tu wananchi wakianza kuwauwa wanapokuja kuwateka hao policcm.Nguvu ya umma ikiamua haishindwi
 
M
Polisi wameshindwa kutulinda.

Soultion: Wakija watekaji na kutaka kumchukua mtu kibabe wananchi wafunge mtaa wasitoke wachomwe moto ndiyo itakuwa solution ,wakichomwa moto nadhani watakuwa wanafata taratibu za ukamataji ,wananchi waki wengi wenyewe wataogopa hata wakiwa na mitutu.
Mwanza na Dar(Kariakoo)wameanza vizuri,wamekataa Afande Vishoka!
 
Andiko lako likekuja muda Sahihi,Cha msingi kama serikali imeshindwa kuwalinda raia wake kwa vitendo basi Kila mtu atambue kuwa usalama wa mwili wako ni wewe mwenyewe hivyo basi Anza kujilinda wewe mwenyewe.
 
Mkuu mambo yote n tarehe 23.9.2024 TUTAPIGWA SANAAA hil nakuakikishia
 
Andiko lako likekuja muda Sahihi,Cha msingi kama serikali imeshindwa kuwalinda raia wake kwa vitendo basi Kila mtu atambue kuwa usalama wa mwili wako ni wewe mwenyewe hivyo basi Anza kujilinda wewe mwenyewe.
Serikali imethibitisha watu binafs na majambaz bado yanamiliki silaha waziwazi wanazotumia kutekea!
 
Back
Top Bottom