Mwanza na Dar(Kariakoo)wameanza vizuri,wamekataa Afande Vishoka!Polisi wameshindwa kutulinda.
Soultion: Wakija watekaji na kutaka kumchukua mtu kibabe wananchi wafunge mtaa wasitoke wachomwe moto ndiyo itakuwa solution ,wakichomwa moto nadhani watakuwa wanafata taratibu za ukamataji ,wananchi waki wengi wenyewe wataogopa hata wakiwa na mitutu.
Tena wamevaa yeboyebo ya kupola!Bora huyo alifatwa na defenda na polisi walivaa sare
Sasa wanakuja watu wamevaa kiraia hawana vitambulisho,hawajitambulishi hapo ndy shuguli
Ova
Wakiulizwa msimbazi hapo sjui kama watakuwa wanawatambuaTena wamevaa yeboyebo ya kupola!
Wakija kama hivyo ni kuwatia petrol na kibiriti wabaki majivu tu.Bora huyo alifatwa na defenda na polisi walivaa sare
Sasa wanakuja watu wamevaa kiraia hawana vitambulisho,hawajitambulishi hapo ndy shuguli
Ova
Ndiyo hali nnayo iona kutokeaWakija kama hivyo ni kuwatia petrol na kibiriti wabaki majivu tu.
Ndo mambo ya kujadiliTISS wanavaa uniform gani? Sasa Sheria inawaruhusu kushika raia na kuwaweka kizuizini (kuwateka).
Polisi jamii wavae sare zenye usajili/utambulishoWananchi wameanza polisi jamii dhidi ya "polisi"
Watauwawa Sana kipindi hikiTISS wanavaa uniform gani? Sasa Sheria inawaruhusu kushika raia na kuwaweka kizuizini (kuwateka).
Bila kuwepo utaratibu utageuziwa kibao kuwa umezuia askari kufanya kazi yaoWatauwawa Sana kipindi hiki
Serikali imethibitisha watu binafs na majambaz bado yanamiliki silaha waziwazi wanazotumia kutekea!Andiko lako likekuja muda Sahihi,Cha msingi kama serikali imeshindwa kuwalinda raia wake kwa vitendo basi Kila mtu atambue kuwa usalama wa mwili wako ni wewe mwenyewe hivyo basi Anza kujilinda wewe mwenyewe.
Utapigwa wewe kama umetakaMkuu mambo yote n tarehe 23.9.2024 TUTAPIGWA SANAAA hil nakuakikishia
DuhTena wamevaa yeboyebo ya kupola!
Badala ya kujadili umbeya ilitakiwa hii iwe mjadala ili kutafta muafakaTena wamevaa yeboyebo ya kupola!