field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,171
- 2,730
Hakujificha, kila mtanzania ana haki ya kwenda anapotaka kwenda, kama angejificha angerudi kufanya nini wewe muuza mandaazi?Mahojiano na Salim Kikeke. Inaonekana Rais yupo nyuma ya hii yote. Na yoote yanayofanyika anaangalia tuu.
Anyway Leo ndo nimemjua Rais tulienae...