Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,672
- 13,067
Rais gani mkuu?Yaani wewe ndio unajua zaidi ya rais?
Rais gani mkuu?Yaani wewe ndio unajua zaidi ya rais?
Mkuu yote hayo ni TISA, KUMI ni kwamba kwa sasa chama tawala kinakiogopa chadema ile mbaya. Kipo tayari kujitoa ufahamu pamoja na kuishi miaka mingi.Mama kajikanyaga kweli kweli sijamwelewa hata kidogo anasema ANADHANI huenda mbowe ni gaidi wakati mahakama ikiendelea na uchunguzi maana yake nini sasa kuna kitu hakipo sawa apo
Mkuu yote hayo ni TISA, KUMI ni kwamba kwa sasa chama tawala kinakiogopa chadema ile mbaya. Kipo tayari kujitoa ufahamu pamoja na kuishi miaka mingi.
Kikeke naye aliamua kulegeza tu mama asingechelewa kupanic duuu!! Tanzania iko bondMkuu yote hayo ni TISA, KUMI ni kwamba kwa sasa chama tawala kinakiogopa chadema ile mbaya. Kipo tayari kujitoa ufahamu pamoja na kuishi miaka mingi.
Hahahahaha kipaumbele Corona KATIBA ugaidi hahahahaUbaya hakuandika..just imagine uwe na tuhuma za uhaini (kuua viongozi)ugaidi na uhujumu Uchumi then uruhusiwe kuingia kwenye jumuiko la kuchaguliwa kwa kura vyombo vya ULINZI enzi za Mwendazake wakuangalie tu??Waahadithie hii story watoto wa chekechea😏😏😏
Sawa dada **** Lokole.Kuwa mtoto wa kike hakukupi uhalali wa kusema ujinga
Mama labda kaingizwa chaka .... Hii kesi ya Ugaidi na Uhujumu uchumi wapi na wapi?Ubaya hakuandika..just imagine uwe na tuhuma za uhaini (kuua viongozi)ugaidi na uhujumu Uchumi then uruhusiwe kuingia kwenye jumuiko la kuchaguliwa kwa kura vyombo vya ULINZI enzi za Mwendazake wakuangalie tu??Waahadithie hii story watoto wa chekechea😏😏😏
Hope umeelewa, kama hujaelewa basi siyo kosa lakoSawa dada **** Lokole.
Unajua alikokuwa?Hivi Mbowe alijificha lini Nairobi?
Mama anajua kuwa kusema uongo ni dhambi?
Kumbe ni wew? Habar yakoTunamsubiri na Tundu Lissu naye atakaporudi ataungana na wenzake kwenye hiyo kesi ya ugaidi. Na Lema hivyo hivyo. Hawa walikimbia nchi baada ya kugundua wanatafutwa na polisi kwa kesi ya ugaidi. Wengine waliomba hifadhi kwenye ubalozi na kuomba ubalozi uwasindikize hadi kiwanja cha ndege.
Situmii hivyo vitu mimi.Njoo nikupe, kama hujaelewa basi siyo kosa lako
Magaidi wengine walikamatwa na baadhi wakahukumiwa, WAKATI HUO huo mbowe akichunguzwa kwa kesi hiyo hiyo ambayo wengine wamehukumiwa? Alafu akatoroka serikali ilikuwa wap mpaka gaidi anatoroka? Na mbona hawakusemaMsipotoshe, kasema alikuwa na kesi lakini upelelezi haukuwa umekamilika, ila kwakua yeye alijua kuwa ana kesi Mh. Ana hisi, hana uhakika ametumia Katiba kutafuta sympathy....Si vizuri kupotosha maneno ya mtu...
Kuna anaekataa kuwa Mbowe hakukimbilia Kenya?
Si huyu huyu alidai Corona hamna na chanjo sio halali? Kivp leo hii waone chanjo ni nzuri na corona ipo? Ina maana tuna intel kigeugeu???
Hyo intel mbona haikuzuia wizi BOT au soko la kariakoo kuungua?? Nani kachukuliwa hatua kwa kufuja hela Tanroads?
Tusikuze mambo.... Hta kma Mbowe angefanya uhalifu hawezi kuhusika moja kwa moja angemtuma hta Kigaila au Munishi sio yye aende front kabisa kutoa hela ya mafuta kwa magaidi.... Hakuna mafia mjinga hivo.
TAKUKURU ilifanya forensic investigation mwaka jana ila hawakuona ana kesi ya uhujumu uchumi wala unadhirifu kama mlivyodai wana JF na jalada likafungwa sasa ina maana nyie mnajua sana kuliko watu wa Financial intelligence unit??Yako mazingira mengi ya uhalifu ambayo yana mkono wa Mbowe. Mengi yamekuwa yakijadiliwa humu JF, Serikali ikasingiziwa
Ushahidi niutoe kivp wakati burden of proof ipo kwa anayetuhumu...... Yaani mnasema Mbowe ni gaidi alafu unataka mie ndio nithibitishe otherwise??Hoja zako zitakuwa za msingi kama ungeziwekea ushahidi, la, ni zinasukumwa na hisia za harakati za kisiasa.
Tokea mwezi wa tisa mwaka jana 2020 walijuwa kuwa Mbowe ni gaidi halafu wakamuacha atoke nje ya nchi? Au unataka kusema alikimbilia Kenya bila kupitia uhamiaji?Kuna anaekataa kuwa Mbowe hakukimbilia Kenya?