Huenda hii kesi ina msukumo kutoka mamlaka fulani.
Mamlaka hiyo itakuwa ya kidhwalimu haswa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda hii kesi ina msukumo kutoka mamlaka fulani.
Ile pole ilitumwa Nairobi?Polisi na CCM huwa wanasaidiana kufichiana aibu. hii kauli ya Samia na ile ya Sirro ukiangalia kwa makini utaona wote wana mtazamo unaofanana.
Kama Mbowe alijificha Nairobi waliwahi kusema? kuna Interpol kwanini hawakutangaza ili wasaidiwe kumtafuta?
Nashawishika kuamini Rais ameongea uongo, analeta propaganda kwenye haki za binadamu, kusema Mbowe alijificha Nairobi wakati muda wote alikuwa Dsm na Moshi kumzika ndugu yake ni maneno ya kisiasa tu.
Hili lipo wazi kabisa mkuu. Kuanzia kauli ya Samia na sasa mwenendo mzima wa kesi ni ushahidi tosha.Huenda hii kesi ina msukumo kutoka mamlaka fulani.
Alijificha bana, kana hujui ni wewe tu. Alianzia dubei kana kwamba ni ziara rasmi afrika ya kusini. Confused? Yes, the police were confused as wellHivi Mbowe alijificha lini Nairobi?
Mama anajua kuwa kusema uongo ni dhambi?
Wajinga wanadanganyana kijingaTiccm imemdanganya mama nae kakubali kudanganyika