Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,446
- 977
Kama tuliambiwa mwendazake anachapa kazi kumbe anapumulia OxygenNi aibu kwa rais kuwa muongo
Hatari tupu
Kama tuliambiwa mwendazake anachapa kazi kumbe anapumulia OxygenNi aibu kwa rais kuwa muongo
Kama ni hivi basi system ina vuja sana maana alijua kesi imekamilika ndio maana akarudi.BAVICHA inabidi watumie akili na busara za mtu wa kawaida. Haiwezekani kwamba wao wanajua kila kitu anachokifanya au alichowahi kufanya Mbowe.
Kuna mambo Mbowe anafanya au amewahi kuyafanya, ambayo hata mke wake mwenyewe hajui. Sheria iachwe ichukue mkondo wake!
Kwa mtazamo wangu nimesikitika kwamba raisi hakuandaliwa kwa taarifa kabla ya "mazungumzo" Majibu yake "yamemuumbua" kwamba hana taarifa sahihi, hajui maana ya demokrasia na hajui siasa na umuhimunwa katiba. NimesikitikaMahojiano na Salim Kikeke. Inaonekana Rais yupo nyuma ya hii yote. Na yoote yanayofanyika anaangalia tuu.
Anyway Leo ndo nimemjua rais tulienae...
Shahidi kasema aliporudi ndo akanza harakati za katiba na maandamano. Hizi harakati zimeanza lini?Acheni kujitoa fahamu nyie bavicha..ni kweli mbowe kipindi alikuwa hayupo mpaka alivyofariki Magufuli ndio akaibuka na kudai alikuwa nje ya Nchi kutafuta uwekezaji.
Imekuwaje tena kiongozi 😅😅😅😅
Wa wapi wewe "mjinga" ni matusi?Kwanza sijaku-quote wewe, ila nashangaa umeijibu hoja yangu kwa Matusi.
Haya basi umenitukana kuwa mimi ni mjinga, wewe mwenye akili zitumie kumtoa Freeman Mbowe huko aliko.
Kila Jambo na wakati wake wananchi watakuwa wanafanya harakati. Siku zote,kwani watanzania hawana kazi zingine za kufanya.Harakati unapambana na nani?.Tufanye kazi watanzania,tuache maneno maneno.kuanza
waterloo shauri lilishakuwepo toka 2020 msijitoe akili waziwaziKwani ni dhambi kuanza harakati za katiba mpya?
Intel? Si walisema hakuna Corona na chanjo hazifai hyo intel gani inayokosa fact moja leo hii eti corona ipo na chanjo ni nzuri?? Bado unaamini wanasiasa wa CCM?Wewe toka povu kwa kuingia ktk mtego wa mbowe ila rais kaongea kama mtu ambaye ameshapewa intels zote na kaamua utawala wake usiwe chaka la mbowe...
Si huyu huyu alidai Corona hamna na chanjo sio halali? Kivp leo hii waone chanjo ni nzuri na corona ipo? Ina maana tuna intel kigeugeu???Aliyeyasema hayo, tena hadharani, ni Rais wa JMT anayepata habari nyingi kuliko mimi na wewe humu JF
Yes waliachiwa yye na Boniface Jacob..... Tena lilianza kipindi matokeo ya Urais yametangazwa. Kivp kipindi kile wawaachie bila masharti ila leo hii kesi ile ile eti ina ushahidi??waterloo shauri lilishakuwepo toka 2020 msijitoe akili waziwazi
Naona unalazimisha mknd wako utafune muwa na sio kazi uliombiwa, kazana.Wa wapi wewe "mjinga" ni matusi?
Kawauliza walimu wako wa Kiswahili wakusaidie.
Ninyi aliwambia alikuwa dubai kibiashara kumbe alikuwa nairobi duu makubwaHivi Mbowe alijificha lini Nairobi?
Mama anajua kuwa kusema uongo ni dhambi??
Huyu mama atatupeleka pabaya.Mama yuko desperate. Anaongozwa na vyombo kushughulikia changamoto za kisiasa kwa kutumia polisi.