political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,950
- 6,390
Watachunguza na watajua nani aliyesuka mpango wakishagundua kiama chako ndio kitafika uliyepanga uwo mpangoJidanganye, USA watu wanakodi hitman , anapigwa chuma kweupe habari yake kwisha..Huyo kimambi hata wakija watu wa delivery kwake anaogopa , nchi rahisi sana kuuliwa ni USA, kila mwaka wanaongoza kwa kesi za watu kuuliwa , ukija afrika ni South Africa.