Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

Kwa yale matusi ngoja avune alichopanda...
Hivi na wewe ni mjinga kiasi hiki? Kweli unadhani nchi inatakiwa kupoteza muda na raslimali ku-deal na mtu kama yule? Hivi ukiangalia profiles za watu wengi waliotekwa tangu kibibi kiwe rais unakuta ni vijana wadogo ambao hawakuwa na impact yoyote kubwa kwenye mabadiliko. Naanza kuamini kuwa TISS inaendeshwa na mjinga Abdul.
 
Mjinga unaandika as if ni jambo la maana mnafanya.

Rachel ni mtu mdogo sana, genge lenu la uhalifu wa kidola linatumia resources za nchi kushughulika nae inaonesha how pathetic you are.

Mmetumia shingapi kumpata? Nauli za ndege, perdiems, etc Ninyi ni wapuuzi basi tu.
 
Rasmi yule dada anayetukana matusi Rasmi yuko kwenye mikono Salama taangu tarehe 30/07/2026 soon atapandishwa kujibu Yanayomkabili au anaweza asionekane kabisa Save huu Uzi serikali ina mkono mrefu.
Hivi mnasoma habari huko x mnatuletea huku ili muonenakane mko mstari wa mbele kujua habari zaidi kumbe mnabashiri tuu.
Aliekuambia kakamatwa ni nani.
Serikali ya tz ilivyo na kiherehere kutangazi siku nyingii ingeshatanganza.huyu dada yupo na anawachora tuu
 
Hivi mnasoma habari huko x mnatuletea huku ili muonenakane mko mstari wa mbele kujua habari zaidi kumbe mnabashiri tuu.
Aliekuambia kakamatwa ni nani.
Serikali ya tz ilivyo na kiherehere kutangazi siku nyingii ingeshatanganza.huyu dada yupo na anawachora tuu
Wapi kuna sehemu nimesema amekamatwa badala ya Kumpikia Mumeo unahangaika mitandaoni utaachika Dada
 
Back
Top Bottom