Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

yule ni raia wa amerika, marekani haitakubali raia wake atekwe kindezi kwenye ardhi yake
Jidanganye, USA watu wanakodi hitman , anapigwa chuma kweupe habari yake kwisha..Huyo kimambi hata wakija watu wa delivery kwake anaogopa , nchi rahisi sana kuuliwa ni USA, kila mwaka wanaongoza kwa kesi za watu kuuliwa , ukija afrika ni South Africa.
 
Kakamatwa na makachero wa kike au kiume? Ni mwanamke yule, kama kakamatawa anatakiwa akamatwe na wanawake wenzake, nilishaona askari wa kike wakikamata wahalifu wa kike
Hii nchi kila mtu ni mwanasheria. Tofautisha ukamataji na upekuzi
 
Waliopo Karibu na Wanaharakati Mwanamke Muwe makini.

Kama Unaishi Nchi za Afrika sepa au rejea Nyumbani utapokelewa na Msahama.

Tuliwaonya Sasa mmoja mmoja

Kazi yake Itakua kutoa Taarifa kwamba Fulan apatikani.

Be careful
 
Kwa mange sahau ilo jambo never ata wahusika wenyewe wanalifahamu ilo yani umteke mtu kwenye ardhi ya USA unajitaka mzee na ata kama ukifanikiwa balaa utakalokuwa umelianzisha siyo la mchezo
Acha ujinga wewe yule ni kiporo tu Interpol wakiamua saa yoyote watamkabidhi hapo Airport.
Kuna yule jamaa na mkewe waliua wakaiba huko South walikamatwa Arusha hujui?
Rusesabagina wa Hotel Rwanda alitamba sana huko US,Belgium na Europe yoote kwamba ni mwamba.
Alikamatwa kizembe tu na mpaka leo kala nyundo za kutosha hapo Rwanda.
Na yule mwanamke aliegombea urais akajipeleka mwenyewe kupiga campain kaliwa kichwa miaka 30.
Hiyo ni mifano tu.
Siku wakiamua Mange sekunde tu mtamuona hapo Dar.
US si mbinguni na wao wakimtaka mtu wao wanapewa anytime.
Yule mwizi mbona alikamatwa Dubai aliowaibia huko US wakampeleka kula nyundo kule
 
Wajinga waliisha, mnateka watu halafu mnakuja kumsingizia Maria Sarungi!

Maria Sarungi ambaye alinusurika kutekwa anahusikaje kutekwa na vibaka hao hao wanaoteka watu leo ndio aje ateke mtu?
one day utajua ukweli.

Kibaka Free.. mliamini?

kwamba Maria amepitia nusu ya mapito ya Kengeza?

Nawambie tena Game hizo uchezwa very Smart.
 
one day utajua ukweli.

Kibaka Free.. mliamini?

kwamba Maria amepitia nusu ya mapito ya Kengeza?

Nawambie tena Game hizo uchezwa very Smart.


Unamlinganisha Maria Sarungi na Freeman Mbowe ?

Mbowe aliwahi kutekwa ?

Acheni kujisifu ujinga, huyo Rachel kwa mambo aliyokua anafanya kupamba na majambazi ya CCM hakutakiwa kujiachia kama alivyokua anajiachia sasa kama mmemteka kwa kumvizia ndio mnakuja kujisifu hapa?
 
Unamlinganisha Maria Sarungi na Freeman Mbowe ?

Mbowe aliwahi kutekwa ?

Acheni kujisifu ujinga, huyo Rachel kwa mambo aliyokua anafanya kupamba na majmabazi ya CCM hakutakiwa kujiachia kama alivyokua anajiachi sasa kama mmemteka kwa kumvizia ndio mnakuja kujisifu hapa?
kila kibaka ataonja anachostahili.

Good Day .

Endelea kuamini ujasiri wa Kuytpe ndio ujasiri ukiwa mbele ya plato.

Watchout.
 
kila kibaka ataonja anachostahili.

Good Day .

Endelea kuamini ujasiri wa Kuytpe ndio ujasiri ukiwa mbele ya plato.

Watchout.


Ndio maana polisi mnaambiwa ni vilaza , unasema Maria ndio anauza watu je aliyemuuza Maria kwenye jaribio la kumteka January 2025 alikua nani?..

Mmesahau tu mwaka jana mlisema analipwa na Ford Foundation kuhamasisha maandamamo ya October 29, na mnamsaka arudishwe Tanzania sasa leo mmegeuka kufanya nae kazi tena?

Acha vitisho baridi wewe kilaza , damu ya Ole Mushi imekuchanganya kabisa hutawahi kuwa sawa tena.

Idiot.
 
Serikali hizo hela kuchezechezea inatoa wapi kutuma watu hadi japani kwenda kumteka recho dagwa kwanini hizo fedha zisielekezwe kwenye miradi ya naendeleo
 
Back
Top Bottom