rachel dangwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Rachel dangwa ilibidi akamatwe Mapema sana maana alikua anatumia matusi ya nguoni

    Habari Hatukatai kwamba kwa sasa serikali inafanya mambo mengi ambayo wananchi hawayafurahii na kiwango cha uungwaji mkono ni kidogo sana kulingana na aina ya utawala uliopo Matukio mengi yanayoripotiwa kama ukosefu wa uwajibikaji ,vitendo vya rush wa, utekaji ,mauaji ya raia wasiokua na hatia...
  2. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Rasmi yule dada anayetukana matusi Rasmi yuko kwenye mikono Salama taangu tarehe 30/07/2026 soon atapandishwa kujibu Yanayomkabili au anaweza asionekane kabisa Save huu Uzi serikali ina mkono mrefu.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Rachel Dangwa hajulikani alipo

    Mwanaharakati, Maria Sarungi ametoa taarifa hiyo kupitia mtandao wa X usiku huu akidai kuwa Rachel Dangwa hajulikani alipo tangu Ijumaa huko nchini Japan.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa anaomba: Free Polepole ijumuishe kwenye slogan ya Chadema ya Free Tundu Lisu

    Ni ombi lake ingawa Polepole was an accomplice to whatever cruelty done during Magufuli era! Tunafanyaje. Weka maoni yako.
  5. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Namna gani tunaweza kumpata Rachel Dangwa ili ashtakiwe?

    Habari za hasubuhi? Huyu binti anaitwa Rachel dangwa anatakiwa apatikane na arejeshwe nchini ashitakiwe. Sote tunaona nchi yetu kwa sasa inavyoendeshwa, Maisha ni magumu, Wananchi hasa wa hali ya chini wamekosa kabisa msaada, Matajiri wanajimilikisha maeneo, Vitu vimepanda bei na mambo mengi...
  6. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa ni supu ya nguru

    Kuna supu ya mawe Kuna supu ya kenge Kuna supu ya umbwa! Hii mchuzi wake hunywewa wa moto Tanga kuna mahali panaitwa mabanda ya papa! Shughuli yake inajulikana wazi Sasa chukua papa(sio kipapa😋) chukua nguru kisha chukua kamongo weka pamoja! Nguru ataibuka kidedea Yuko mstari wa mbele sana...
  7. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa adai Polepole bado yupo hai

    Alichosema mtengeneza maudhui ya kukosoa serikali ya Tanzania ni kuwa Humphrey Polepole amekuwa akihamishwa hamishwa sehemu anazohifadhiwa. Amedai kuwa anapohamishwa huvishwa nguo nyeusi. Amepelekwa Mbweni kisha Kigamboni. Rachel amesema wanajisumbua wanaofanya juhudi ya kufungia account zake...
Back
Top Bottom