Bado wawili; Vigagula Mange na Maria.Serikali ya hovyo inakamata Hadi wagonjwa wa akili
😂😂Dah una kituSerikali ya hovyo inakamata Hadi wagonjwa wa akili
Mikono ya wahuni sio dola sio salamaSema mikono ya dola, usiseme mikono salama, mikono salama ni endapo angeangukia kwenye hatari kisha akaokolewa hiyo tunasema mikono salama
Ili wasilete taharuki Kwa wagonjwa wengine
Maisha anayoishi nayo yanachangia!Wamemnyamata akiwa wap? Mbona wenzake wanajificha uzuri tu yeye imekuaje Tena au ndio alikuwa hapahapa bongo
Itakua labda lengo akatibiweSerikali ya hovyo inakamata Hadi wagonjwa wa akili
Umetega mtego wa kuzuia usionekane Fix.soon atapandishwa kujibu Yanayomkabili au anaweza asionekane kabisa
Mkono mrefu wapi wakati Kikwete ndo anagaika na akina rechol ndagwa ni aibu kwa Taifa ndo aliangaika na PolepoleRasmi yule dada anayetukana matusi Rasmi yuko kwenye mikono Salama taangu tarehe 30/07/2026 soon atapandishwa kujibu Yanayomkabili au anaweza asionekane kabisa Save huu Uzi serikali ina mkono mrefu.