Tatigha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 1,957
- 2,012
Mwaka mzima hujapiga punyeto wala kugegeda?? Mkuu mkuu unawezaje hio?Nikiri kusema Mimi nimeacha Punyeto Huu mchezo nimeuanza mwaka 2011 Na nimeendelea nao mpaka 2014..Miaka yote Hapa nilikuwa nafanya mapemzi bila shida yoyote
Ila kuanzia Mwaka 2017 hadi mwaka 2018 Nimekutana na wanawake wanne kwa vipindi Tofauti Tofauti na vyote uume wangu umekuwa ukilegea na nikishindwa kabisa kufanya mapenzi..
Niliamua kuiacha Rasmi Punyeto rasmi mwaka 2019 nina mwaka hadi sasa sijaganya punyeto ninamshukuru Mungu kwa hilo..
Mpaka sasa najikuta naogopa sana kujamiana na mwanamke japo mimi ni mtu yule mwenye bahati ya kupendwa na wanawake na Hata sielewi kama nitarudi karika hali ya awali maana Hofu ndo umwkuwa kama ugonjwa mpya..