Pongezi kwenu Single Mothers

Pongezi kwenu Single Mothers

Hivi karibuni kuachana kumeonekana kama fashion mpya. Kwa mwezi huu pekee tumesikia watu maarufu karibia mahusiano au ndoa 5 wameachana, na hata huku mtaani mahusiano yanavunjika kama vile kuna mashindano mimi tu mwenyewe rafiki zangu watatu washaachana na wapenzi wao. Zamani kulikuwa na wazee wa kusuluhisha, siku hizi mtu akichoka dakika mbili tu anasema "kila la heri" na maisha yanaendelea.

Sasa najiuliza, je, wahanga wakubwa siyo single mothers ambao walishapata mtu wa kuwavumilia na kusaidia kulea watoto? Maana kwa sasa kuna kampeni nyingi zinazowafanya baadhi ya wanaume waone kuoa single mother kama mistake kubwa. hivyo kwa single mother Ukijikuta umepata jamaa wa kukubali , heri ujifanye lofa kabisa kuliko kuanza vitisho na jeuri za bure. Maana siku hizi kuvunja mahusiano ni rahisi kuliko kuyarekebisha
 
😬😬😬😬
Ukweli siku hizi kuachana ni kufumba na kufumbua watu wapo busy sana inaonekana kwenye kusaka hela na maisha kuliko takataka zinazoitwa ndoa au mapenzi
 
The real apocalypse isn't that AI will perfectly do your job in 18 months, but that an AI salesman will convince your boss to fire you anyway, leaving millions of office jobs to evaporate overnight for a tool that can't actually do the work.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom