Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 13,020
- 36,619
Single mother wote wakiingia kwenye mahusiano mapya huwa hawawaongelei vizuri wazazi wenzao. Hauwezi kusikia anasema "baba mtoto yupo anampenda na kumjali sana mwanae" . Mara zote utasikia "hata sijui yupo wapi. Atajua mwenyewe na maisha yake"
Do you think that's coincidence? no, it's a manipulative plan. Mpango ni kuwachonganisha boyfriend mpya na baba mzazi. Boyfriend wa sasa akishamuona baba mzazi ni adui na hatimizi wajibu wake atajaribu kustep up kuziba hiyo nafasi
Sasa hapa kuna masimp huwa wanakamatwa mpaka kufikia hatua ya kujiona wao ndio wanastahili haki ya baba wa mtoto.
Wakati huo single mother yeye anakaa pembeni kuangalia hiyo vita yenu. Maana yoyote atakaeibuka mshindi ni ushindi wake pia. Nyie fanyeni vita vyenu upande utakaoibuka mshindi ndie upande ambao singo mither atauchagua. She is not loyal to your efforts, commitment and sacrifices. Her loyalty crave toward survival and interests of herself and her kid
Embu niambie katika kutaka kuchukua haki ya baba mzazi ukajitolea kumlipia ada mtoto. Baba mzazi akaja akataka kumpeleka mtoto wake kwenye shule ya gharama zaidi. Unafikiri single mother ataheshimu sacrifices zako wewe ambae upo kila siku na kuikataa ile ofa ya baba mtoto? Jibu ni hapana, atachagua mtoto wake asome shule ya gharama zaidi.
Single mother ni kiwanja chenye mgogoro kamwe usijiingize kwenye huo ugomvi wala kutaka kujenga kwenye hicho kiwanja.
Her babydaddy is not a villain, he is just an innocent man who discovered her dark side you're yet to discover.
Don’t be a simp
Do you think that's coincidence? no, it's a manipulative plan. Mpango ni kuwachonganisha boyfriend mpya na baba mzazi. Boyfriend wa sasa akishamuona baba mzazi ni adui na hatimizi wajibu wake atajaribu kustep up kuziba hiyo nafasi
Sasa hapa kuna masimp huwa wanakamatwa mpaka kufikia hatua ya kujiona wao ndio wanastahili haki ya baba wa mtoto.
Wakati huo single mother yeye anakaa pembeni kuangalia hiyo vita yenu. Maana yoyote atakaeibuka mshindi ni ushindi wake pia. Nyie fanyeni vita vyenu upande utakaoibuka mshindi ndie upande ambao singo mither atauchagua. She is not loyal to your efforts, commitment and sacrifices. Her loyalty crave toward survival and interests of herself and her kid
Embu niambie katika kutaka kuchukua haki ya baba mzazi ukajitolea kumlipia ada mtoto. Baba mzazi akaja akataka kumpeleka mtoto wake kwenye shule ya gharama zaidi. Unafikiri single mother ataheshimu sacrifices zako wewe ambae upo kila siku na kuikataa ile ofa ya baba mtoto? Jibu ni hapana, atachagua mtoto wake asome shule ya gharama zaidi.
Single mother ni kiwanja chenye mgogoro kamwe usijiingize kwenye huo ugomvi wala kutaka kujenga kwenye hicho kiwanja.
Her babydaddy is not a villain, he is just an innocent man who discovered her dark side you're yet to discover.
Don’t be a simp