ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 20,409
- 74,765
Kwahiyo ukienda kwake, mtoto wake anakudandia "baba baba" na wewe unajitutumua unatoa hela ya shuleKuna singo maza mmoja nilikuwa nammendea miaka ya zamani kidogo, niliona kama ana akili akili. Kwenye stori anampiga vita sana huyo bwana na kudai hawana mawasiliano. Nikaamua kufanya research.
Siku moja nikaenda kwake bila taarifa. Kuingia ndani nakuta ameweka picha ya bwana ake ukutani(alisahau kuitoa). Inaonekana huwa anaweka na kutoa nikiwa naenda pale. Nikasema asante Yesu umelianika hilo fala mapema, acha nilichezee tu
Naunga mkono hoja