Pongezi kwenu Single Mothers

Pongezi kwenu Single Mothers

Natamani niseme kitu, lakn nakumbuka nina mabinti wakubwa sana watatu na binti mwenye umri mdogo ana miaka 18...
Nikisema niwasodoe wanaume wenzangu nakumbuka nina vijana wakiume wakubwa watatu.

Busara zinaniongoza kunyamaza ili wasione kuwa wana baba wa ajabu ukizingatia majina yangu ni halisi.
Usijifiche kwenye hicho kichaka ndg yangu, kama ni aged huwezi kukosa ushauri kisa watoto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom