Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,311
- 85,391
Mualike kwenye kikao maalumu mchape kama 10 imported beer hivi, ndio umuwekee swala lako mezanišSi ndio maana nimeomba kistaarabu š usifanye sasa akakataa
Mualike kwenye kikao maalumu mchape kama 10 imported beer hivi, ndio umuwekee swala lako mezanišSi ndio maana nimeomba kistaarabu š usifanye sasa akakataa
Usijifiche kwenye hicho kichaka ndg yangu, kama ni aged huwezi kukosa ushauri kisa watoto.Natamani niseme kitu, lakn nakumbuka nina mabinti wakubwa sana watatu na binti mwenye umri mdogo ana miaka 18...
Nikisema niwasodoe wanaume wenzangu nakumbuka nina vijana wakiume wakubwa watatu.
Busara zinaniongoza kunyamaza ili wasione kuwa wana baba wa ajabu ukizingatia majina yangu ni halisi.
Tutamfunga mdomo aje tuš
Sawa omba appointment basi šTutamfunga mdomo aje tuš
Hamna shida,Sawa omba appointment basi š
Dada wa familia š„°Hamna shida,
Samahani kaka KERATO MOMBAA tulikuwa tunakuomba mara moja kuna jambo tunataka kukushirikisha mimi na ndugu zangu wawili, utakuwa na muda sangapi ili tuyajengešš¬
Kwenye 1 na 2š¤ŖDada wa familia š„°
Aisee hapo labda tusubiri hata mwezi upite!Na arsenal imefungwa sijui š
Tutamlazimisha ngoja kwanza ba mkwe aamke tuchonge naye vizuri!Kashaanza kuzingua hataki nioe huyo
Sister peke ako ndiyo unanitakia mema mdogo wako šTutamlazimisha ngoja kwanza ba mkwe aamke tuchonge naye vizuri!
Dadaako bado nakupenda mdogo wangu!Sister peke ako ndiyo unanitakia mema mdogo wako š