Mada zile zileWakuu, sote tunafahamu kuwa habari ya mjini kwa sasa inayotreand sana ni hii ya single mothers. Utasikia, single mother hivi,single mother vile, je nini chanzo cha hawa single mothers na nini kifanyike kuthibiti kundi hili linaloongezeka kwa kasi ya 7G? Mjadala huu ni wa wote hata nyie single mothers toeni maoni yenu. NAOMBA KUWASILISHA
Umetumia busara kwa sababu una hekima! Huwezi kushindana na hawa chipukizi vijana wasiojitambua na wala hawajui maisha! Kuropoka tu ndio wanajua saa ingine ukooni kwake kumelundikana masingo maza ya kila rangi, basi tu kutafuta attention za kijinga!Natamani niseme kitu, lakn nakumbuka nina mabinti wakubwa sana watatu na binti mwenye umri mdogo ana miaka 18...
Nikisema niwasodoe wanaume wenzangu nakumbuka nina vijana wakiume wakubwa watatu.
Busara zinaniongoza kunyamaza ili wasione kuwa wana baba wa ajabu ukizingatia majina yangu ni halisi.
Kila wakileta zinaungwa kama mechi za ugenini😂Bora hizi takataka zenu ziunganishwe , kongole kwenu mods
HahahahaTresor Mandala uliniquote nini ukafuta😅
Singo maza singo maza vijana wenyewe sasaKila wakileta zinaungwa kama mechi za ugenini
Mambo ya hovyo! Saa ingine hata pa kulala hana anawaza tu singo maza, wazee wa kuliunga humohumo!Singo maza singo maza vijana wenyewe sasa
View attachment 3598169
Ziungwe tu tumechoka mada ileile maoni yaleyale kila kukicha!Uzi umeungwaungwa mpaka wasomaji tunapoteana hatujui tuanzie wapi pa kusoma, huu utaratibu wa kuungaunga nyuzi zenye maudhui yanayofanana si mzuri kwa wasomaji, unachanganya mtiririko wa usomaji
sie tunataka kukomesha usingo maza, wanawake ni sharti wawe na waume zao, hao watoto tunataka wapate malezi ya wazazi wote wawili, hata baba wa kambo awepo nyumbani kama baba wa ukweli amekimbia au kukimbiwa na mke. Baba ni muhimu ndani ya nyumba hata kama akiwa boya, wa kuzugia sauti yake watoto waisikie ina umuhimu wakeZiungwe tu tumechoka mada ileile maoni yaleyale kila kukicha!
Hiyo kampeni anzeni kwa kujipigia ninyi watunga mimba za hovyo! Kama kweli hamtaki singo maza mitaani kateni hiyo mirija yenu fanyeni vasectomy ili iwe kazi rahisi, kulomba mnalomba hamtumii hata kinga ila bado analaumiwa mwanamke aliyebeba mimba?sie tunataka kukomesha usingo maza, wanawake ni sharti wawe na waume zao, hao watoto tunataka wapate malezi ya wazazi wote wawili, hata baba wa kambo awepo nyumbani kama baba wa ukweli amekimbia au kukimbiwa na mke. Baba ni muhimu ndani ya nyumba hata kama akiwa boya, wa kuzugia sauti yake watoto waisikie ina umuhimu wake
Njoo tukukamate wewe basi🤣🤣🤣Mwanamke kuishi peke yake bila mwanaume huku ana watoto huo ni ujeuri, atafute hata boya wa kuishi naye italeta heshima kuwa huyo mwanamke naye ana mume, hataonekana ni malaya, kahaba na changudoa. Kuna wanaume huoa wanawake wengi aolewe huko kuliko kuishi kibishi huku ana watoto mpaka wa kiume. Watoto wa kiume wanahitaji malezi ya kibabababa siyo ya kimamamama. Ewe single mother usiishi maisha ya kibishi kamata hata mume wa mtu ili watoto wako wa kiume waone kuna mwanaume nyumbani
Nikabidhi binti mmoja mkuu nimlinde 🙌🏾Natamani niseme kitu, lakn nakumbuka nina mabinti wakubwa sana watatu na binti mwenye umri mdogo ana miaka 18...
Nikisema niwasodoe wanaume wenzangu nakumbuka nina vijana wakiume wakubwa watatu.
Busara zinaniongoza kunyamaza ili wasione kuwa wana baba wa ajabu ukizingatia majina yangu ni halisi.
Huna adabu na wazee wako kijana😁Nikabidhi binti mmoja mkuu nimlinde 🙌🏾
Si ndio maana nimeomba kistaarabu 😁 usifanye sasa akakataaHuna adabu na wazee wako kijana😁