Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,321
- 201,542
To each their own
Hiyo ng'ombe mpya ikikuletea mambo meusi ua kabisa.Single mothers tutakoma. hata hivyo nimetoka kuumizwa vipi nanwewe unileteee mambo meusi
Mapenzi hayana fomula jombaa acheni hizi ngonjera!!
Watu wanaolewa hadi mabikira ila bado sinema zakutosha huko ndoani
Mjibu mkuu. Ameniudhi sanaN ukajibu mkuu?
Single mothers tutakoma. hata hivyo nimetoka kuumizwa vipi nanwewe unileteee mambo meusi
Mwanaume hakuumbwa kuoa mwanamke mwenye mtoto, au hakuumbwa kuoa mwanamke asiye na bikra. Tunajitahidi ku-adjust lakini nature inakataa.
mwanaume mwenzio kakaa naye akamzalisha, hujiulizi kwa nn wameshindwana? na ndio maana unakuta mwanamke anaachika mara 4 5 kwa sabab kuna hisia kuwa ndio maana flan kashindwa kuishi na huyu jini
Hahaha labda kakoseaMjibu mkuu. Ameniudhi sana
Nimeandika kama mara mbili nakufuta, nafikiri labda tu umekosea kunitaja🤔
Hua nashangaa hata mwanaume akitaka kuoa single mothers wanawake wanamzuia 😇😇
fikiria mwanamke anakwenda kuagana na mtu wake siku moja kabla ya ndoa. na jamaa anapeleka moto wa hatari ili kuweka kumbukumb
Sasa hivi hakuna kuwa ignore ni kula nao sahani moja tu😂😂😂Alafu utakuta ni mtu wa kihurio sijui utasemaje hapa?
Soma between the line, huyo jamaa hajaandika bahati mbaya, anakuchafua. Ila mkaushie tu, au niuzie mie hiyo kesiHahaha labda kakosea
Yeah nimesoma vizuri sana mkuu😁 tumpotezee tuSoma between the line, huyo jamaa hajaandika bahati mbaya, anakuchafua. Ila mkaushie tu, au niuzie mie hiyo kesi
Halafu ukioa singo maza hata ndugu wa kike walio singo maza wanakuona chengaKuna binamu yangu alioa mwanamke na mtoto. Akina mama, mashangazi wanamaindi mpaka leo. 😁
Hawajawahi mkubali yaani.
Halafu ukioa singo maza hata ndugu wa kike walio singo maza wanakuona chenga
Mdau wewe umeoa?Uoe bikra alafu upewe sinema. Kesi hiyo itaripotiwa ndoa moja kaa miamoja kaa miaka kumi.
Lakini huko pengine ni fifty-fifty na Kila Siku.
Mapenzi yanafomula kama yalivyo mambo mengine.
Wanaosema mapenzi hayana formula ni watu ambao hawana formula kwenye chochote kile wanajiendea endea katika mambo yao.
weweSingle mothers tutakoma. hata hivyo nimetoka kuumizwa vipi nanwewe unileteee mambo meusi